Masopu sopu ya Hausigeli.

Indume Yene

Platinum Member
Mar 17, 2008
2,944
703
Nimekutana na hii picha na huyo dada akijitambulisha kama mfanyakazi wa ndani (Hausigeli) kwa jina Elizabeth Patrick. Nimeiweka hii picha hapa kwa kuanzisha hii thread purposely maana watu wengi especially jamii ya kiafrika wanawadharau wasichana wanaofanya kazi za ndani. Sina hakika kama wanaume wanaofanya hizi shughuli nao wanakumbwa na hii dharau.

Huyu dada looks so beautiful, na kama hasingejitambulisha kwa kazi yake hiyo, watu wangeamini kuwa anafanya shughuli maybe ofisini kwenye kiyoyozi. Watu wa namna hii wakipewa nafasi wajivunie kile walicho nacho, inaweza kuleta balaa hata ndani ya nyumba ya tajiri wake. Kama baba mwenye nyumba si mtu wa kujiheshimu anaweza kujikuta anavunja ndoa kwa hilo.

Picha hiyo hapo, maoni yanakaribishwa.

3.jpg




Picha: Kwa hisani ya Jiachie blog.

My Take: Wafanyakazi wa ndani wanatakiwa nao wapewe mwanya wa kujivunia whatever they have. Unakuta waajiri wengine hawaruhusu hausigeli wao hata kutoka for social activities. Hawa watu wanatakiwa kuheshimiwa kama vile wafanyakazi wengine. I wish watu hawa wangeanzisha chama chao ambacho kingekuwa na lengo la kutetea haki zao dhidi ya waajiri katili.
 
Hizo bastola sijui baba mwenye nyumba (Tajiri) anaweza kushinda matamanio hayo. Ni balaa.
 
sorry i beg to differ, my wife wouldnt have such uggly for house girl, unless my kids refuse to work on their home work
 
Ni kwetu tu amabako watu tunadharau kazi. Wenzetu nchi zilizoendelea wanajivunia kazi yoyote wanayofanya; mradi ina kipato cha kuwawezesha kumudu maisha yao. Wafilipino, baada ya degree wanafanya hata kazi za ndani kusubiria ajira ya fani waliyosomea. Wabongo maskini lakini tuna nyoooodo!
 
Nimekutana na hii picha na huyo dada akijitambulisha kama mfanyakazi wa ndani (Hausigeli) kwa jina Elizabeth Patrick. Nimeiweka hii picha hapa kwa kuanzisha hii thread purposely maana watu wengi especially jamii ya kiafrika wanawadharau wasichana wanaofanya kazi za ndani. Sina hakika kama wanaume wanaofanya hizi shughuli nao wanakumbwa na hii dharau.

Huyu dada looks so beautiful, na kama hasingejitambulisha kwa kazi yake hiyo, watu wangeamini kuwa anafanya shughuli maybe ofisini kwenye kiyoyozi. Watu wa namna hii wakipewa nafasi wajivunie kile walicho nacho, inaweza kuleta balaa hata ndani ya nyumba ya tajiri wake. Kama baba mwenye nyumba si mtu wa kujiheshimu anaweza kujikuta anavunja ndoa kwa hilo.

Picha hiyo hapo, maoni yanakaribishwa.

3.jpg




Picha: Kwa hisani ya Jiachie blog.

My Take: Wafanyakazi wa ndani wanatakiwa nao wapewe mwanya wa kujivunia whatever they have. Unakuta waajiri wengine hawaruhusu hausigeli wao hata kutoka for social activities. Hawa watu wanatakiwa kuheshimiwa kama vile wafanyakazi wengine. I wish watu hawa wangeanzisha chama chao ambacho kingekuwa na lengo la kutetea haki zao dhidi ya waajiri katili.


Unawaza na kufikiri kama ninavyowaza na kufikiri juu ya hawa watu.
Ngoja niendelee kuwaza nitatoka na jibu kwa matendo tu siku moja.
 
sorry i beg to differ, my wife wouldnt have such uggly for house girl, unless my kids refuse to work on their home work

hebu mweke huyo mkeo hapa, anakunya hela nini? Kama mke si wako anahusu nini wengine..... Halafu si hasara walikutolea bikra wengine we umeshika second hand halafu unajisifu?,,,,,,,, ulimbukeni wa kijinga, ndo tukuone mjanja eti? Mijitu mingine bana,,,
 
sorry i beg to differ, my wife wouldnt have such uggly for house girl, unless my kids refuse to work on their home work

Mjepu kumwita huyo dada Ugly umekosea, hebu tuwekee picha ya dada yako tuione hapa. The girl is so cutie na wala hapo hajaweka manjonjo ya vipodozi. Come on, she is pretty, naona kama una kikorosho tu.
 
Ni kwetu tu amabako watu tunadharau kazi. Wenzetu nchi zilizoendelea wanajivunia kazi yoyote wanayofanya; mradi ina kipato cha kuwawezesha kumudu maisha yao. Wafilipino, baada ya degree wanafanya hata kazi za ndani kusubiria ajira ya fani waliyosomea. Wabongo maskini lakini tuna nyoooodo!

Waafrika wengi huko US au UK wanaume kwa wanawake wanafanya kazi kama hizi. Weekdays wako na vibibi na vibabu kwenye home care lakini ikifika Ijumaa jioni unawaona wanatoka kujirusha na kutundika picha kwenye facebook. Ukiona nguo wanazovaa ni za gharama but shughuli ni kama hiyo, sasa kwa nini huidharau?
 
daaaah huyu ndo anakuwa housegirl wa kumlea gaude...hahaaaa kuna siku mama Nyanzala wangu utanikuta niko nyavuni
 
Nimekutana na hii picha na huyo dada akijitambulisha kama mfanyakazi wa ndani (Hausigeli) kwa jina Elizabeth Patrick. Nimeiweka hii picha hapa kwa kuanzisha hii thread purposely maana watu wengi especially jamii ya kiafrika wanawadharau wasichana wanaofanya kazi za ndani. Sina hakika kama wanaume wanaofanya hizi shughuli nao wanakumbwa na hii dharau.

Huyu dada looks so beautiful, na kama hasingejitambulisha kwa kazi yake hiyo, watu wangeamini kuwa anafanya shughuli maybe ofisini kwenye kiyoyozi. Watu wa namna hii wakipewa nafasi wajivunie kile walicho nacho, inaweza kuleta balaa hata ndani ya nyumba ya tajiri wake. Kama baba mwenye nyumba si mtu wa kujiheshimu anaweza kujikuta anavunja ndoa kwa hilo.

Picha hiyo hapo, maoni yanakaribishwa.

3.jpg




Picha: Kwa hisani ya Jiachie blog.

My Take: Wafanyakazi wa ndani wanatakiwa nao wapewe mwanya wa kujivunia whatever they have. Unakuta waajiri wengine hawaruhusu hausigeli wao hata kutoka for social activities. Hawa watu wanatakiwa kuheshimiwa kama vile wafanyakazi wengine. I wish watu hawa wangeanzisha chama chao ambacho kingekuwa na lengo la kutetea haki zao dhidi ya waajiri katili.
Kifaa kweli kweli jamani cpati picha baba mwenye nyumba na watototo wake wa kiume wanavyogongana.....
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom