Masomo ya chuo kikuu yafundishwe kwanza secondary(advanced level)

Masomo ya chuo kikuu yafundishwe kwanza secondary(advanced level)

acha kupanic, sisi tunataka tuende step kwa step kama watu civilized, je a level umesoma? chuo umesoma?
Huyu anategemea Google hana materials yake kama yeye na curiosity yake kama yeye ndo maana anashindwa kwenda kwenye details anabaki tu kusema masomo ya chuo kikuu yafundishwe A level. Sijui mara specialization wakati hizo combination ni specialization pia.
 
Huyu anategemea Google hana materials yake kama yeye na curiosity yake kama yeye ndo maana anashindwa kwenda kwenye details anabaki tu kusema masomo ya chuo kikuu yafundishwe A level. Sijui mara specialization wakati hizo combination ni specialization pia.
Ana exposure ndogo sana kuhusu Elimu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe source yako ni Google ?Kule kila mtu anaweza jiwekea anayotaka. Again basi huna mawazo yako kama wewe na unategemea jalala Google ambako kila taka taka ipo.

hahahhahhaahahahhahah..........wewe kweli hazikutoshi.
 
Huyu anategemea Google hana materials yake kama yeye na curiosity yake kama yeye ndo maana anashindwa kwenda kwenye details anabaki tu kusema masomo ya chuo kikuu yafundishwe A level. Sijui mara specialization wakati hizo combination ni specialization pia.


Limewashuka shuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu,lol... kama wewe ni daktari na hujatumia google then wewe ni daktari mandazi!...tafuta the best search engine,lol
 
Hivi Google imeanza lini ?Major science impacts zimetokea kulikuwa na Google ?Kina Leornado Da vinci anajua vitu kibao alitumia Google ?Nimesoma kipindi cha Google na wala Google siyo source kabisa.
Isack Newton alipokuwa bustani kwake akaona Apple linaanguka chini akajiuliza kwa nini baadae alikimbilia kuangalia Google.
Be curious na tumia vivid examples.
Njoo na research na data na supporting evidences .
Hujui contents za A level. Hujui Contents za chuo then unatuambia contents za chuo zifundishwe A level.
Rebeca 83 njoo na supporting evidences na details. Other wise upo hewani to. Unaongelea kitu usijokijua.
 
Limewashuka shuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu,lol... kama wewe ni daktari na hujatumia google then wewe ni daktari mandazi!...tafuta the best search engine,lol
This is too low.If you can not explain it,that means you know nothing about it.
 
Ni ama hujaeleweka unachokisema au upo 'rigid' na kilicho kichwani mwako. Na nahisi la pili ni sahihi, najiuliza wote hatujakuelewa unachomaanisha!!
 
Ni ama hujaeleweka unachokisema au upo 'rigid' na kilicho kichwani mwako. Na nahisi la pili ni sahihi, najiuliza wote hatujakuelewa unachomaanisha!!

Kama hujaelewa na unadhani niko rigid,siwezi kukufanya uwelewe,pole.
 
Back
Top Bottom