Masomo ya chuo kikuu yafundishwe kwanza secondary(advanced level)

Masomo ya chuo kikuu yafundishwe kwanza secondary(advanced level)

Vipi tukianza basic skills kuanzia sekondari?

Katika miaka minne tukafundisha 2 Year Formal na 2 Years 21st Century Skills kwa kutoa elimu ya vitendo katika Mekanika, Umeme, Carpentry, Plumbing, Computer, Ushonaji, Ujenzi, Kilimo, Maabara and co.?

Tanzania halitokuwa taifa lenye vyuo kila kata?

Tukiwa na vyuo vya ufundi kila kata ndio vizuri,lol nimeipenda hio system uliyopropose ila pia kuwe na choice kwa mtu anayetaka..lol..i think system yetu inakosa 'flexibility'
 
Hello JF,

Mnaonaje masomo ya degree(vyuoni) yaanze kufundishwa basics A level?

I believe mtu akisoma Advance then aksoma Diploma ama Degree ya somo hilo hilo, atakua na confidence hata kujiajiri..........

Sio sasa miaka mitatu ya chuo inawezekana inatosha..ila mimi sidhani inatoa watu competent na ndio maana watanzania tunafeli vibaya kwenye soko la ajira as compared na nchi nyingine....embu fikiria mtu anaenda kwa mfano kusoma Accounting wala hajui basics za Excel kisha anafundishwa ku cramm 'matirio' ya anachosoma, baada ya miaka mitatu ya chuo,huyu kweli ameiva????

********* however nawapa heshima yenu wote mliomaliza chuo salama,either by independent learning ama kwa Ku cramm, sio kazi rahisi!..LOL
Halafu Rebeca 83 mtu anapokuwa anasoma chuo huwa kuna field pia. Field ndo inamsadia mtu kujifunza kuapply theories alizojifunza chuo.
 
Hello JF,

Mnaonaje masomo ya degree(vyuoni) yaanze kufundishwa basics A level?

I believe mtu akisoma Advance then aksoma Diploma ama Degree ya somo hilo hilo, atakua na confidence hata kujiajiri..........

Sio sasa miaka mitatu ya chuo inawezekana inatosha..ila mimi sidhani inatoa watu competent na ndio maana watanzania tunafeli vibaya kwenye soko la ajira as compared na nchi nyingine....embu fikiria mtu anaenda kwa mfano kusoma Accounting wala hajui basics za Excel kisha anafundishwa ku cramm 'matirio' ya anachosoma, baada ya miaka mitatu ya chuo,huyu kweli ameiva????

********* however nawapa heshima yenu wote mliomaliza chuo salama,either by independent learning ama kwa Ku cramm, sio kazi rahisi!..LOL

95 % ya waliojiajiri na wafanyabiashara Tanzania . Hawajui degree ni kitu gani.

Fanya research anzia kariakoo kila duka na kila hotel utaona ni wamiliki wangapi wana hizo degree

Kisha nenda kwenye madini, nenda kwenye mbao mafinga, nenda kilimo na ufugaji kanda ya ziwa na umasaini.. nenda ubungo wamiliki wa ma bus kawapeleleze ,utaona degree walionazo ni wangapi

Kwenye kujiajiri degree haina msaada wowote..

Degree wanazo wafanyabiashara less than 5 % kina mo dewji..na hao degree wanazo sababu mali wamerithi.. hata baba yake mo aliyetafuta mali hana degree.

Degree ndio zinaludisha watu nyuma kutafuta mali sababu zinaleta class ya usomi.. na inaleta aibu kutafuta mali.. graduate mnunulie hata dala dala mwambie akae konda au dereva aendesha gari lake.. ataona aibu. Na kuajiri dereva na konda huku yeye anashinda kijiweni
 
mimi naona upige kelele kuwe na flexibility,mtu yeyote aliyemaliza four ama six na akafaulu vizuri basi asome fani yoyote anayoipenda,hii mambo ya combination inawafanya watoto wasiwe na choice, kwa mfano huyo alieyebadili gia angani na kusoma Bcom badala ya engineering, angepewa options huku chini labda angechagua hio Bcom au angesoma engineering na university angechagua Bcom baada ya kuona hapendi tena engineering...kuwe na flexibility huko vyuoni..mbona sio kitu kigeni vyuoni kuchanganya masomo, kwa mfano Business na Engineering???

Umeongelea kuhusu PCB,Biology, Chemistry nk ni kweli ni foundation ya Pharmacy,udaktari na Kadhalika , sidhani kama umeniewelwa contents mnazosoma A level ni basics zinazowafikisha chuoni kwa system ya sasa,ila contents za A level labda Pharamacy zingekua more specialized,more focused..na zikiwa tailored ku meet vigezo vya kusomea Pharmacy in higher level,then kwa nini watoto wasipewe choice hii....?????....

Umenishangaza hapo uliposema mtu akitaka kuingia deep achukue Diploma, mkuu kuna mtu anayesoma fani asiingie deep???naona una acknowledge mfumo wetu wa sasa hautoi wahitimu 'deep' and specialization inahitajika kuanzia level ya chini..LOL
Hapo nilimaanisha akitaka kuwa deep mapema. Let say hautaki kwenda A level na lengo lako ni kuwa Dr baadae. Unaaza kusoma CO tu. Baadae mbele kwa mbele waweza utaingia medicine.
Pharmacy kuna chemistry ambayo huko kuna ma Qualitative analysis sijui ma volumetric analysis ma periodic table.Ukiweka na Bam yako mbona hutashindwa kufanya course ya kuandaa madawa na ukatoka umeiva kabisa.
A level inatosha kabisa hivyo ilivyo.
 
Itakuwa burdensome.. Hata hao private schools si lazima...Nao wanayasoma partially tu.
Ila huo ndo utaratibu kadri unavyoenda juu unazidi kuspecialize...Hata huo uhasibu au IT anasoma basics zake A'level.
Halafu pia mwanafunzi anakuwa na option nyingi zaidi.Akiwa A'level atachagua anachotaka akisomee kati ya machaguo mengi mengi kulingana na kombi yake.
Hata akitaka kusomea anachopenda mapema,pia inawezekana.Anaweza kuikacha Advance akaingia chuo.So machaguo yote mawili yapo,ashindwe mwenyewe tu.

mnhhh aisee.

wewe unaona sawa ku specialize juu na sio kuanzia chini?

Piga kelele kuwe na options nyingi vyuoni mkuu....
 
Hapo nilimaanisha akitaka kuwa deep mapema. Let say hautaki kwenda A level na lengo lako ni kuwa Dr baadae. Unaaza kusoma CO tu. Baadae mbele kwa mbele waweza utaingia medicine.
Pharmacy kuna chemistry ambayo huko kuna ma Qualitative analysis sijui ma volumetric analysis ma periodic table.Ukiweka na Bam yako mbona hutashindwa kufanya course ya kuandaa madawa na ukatoka umeiva kabisa.
A level inatosha kabisa hivyo ilivyo.

Mnhhh sasa kinachowakwamisha wahitimu wetu nini kama wanaweza kuandaa madawa kwa vile walisoma PCB???!!!! ama hawakuingia 'deep' ?????
 
Mnhhh sasa kinachowakwamisha wahitimu wetu nini kama wanaweza kuandaa madawa kwa vile walisoma PCB???!!!! ama hawakuingia 'deep' ?????
Hivi kuna mfamasia kamaliza 4 years pale Muhimbili na hajui kazi yake aliyoisomea na ana degree kabisa ?Come on. Wapharmasia wapo vizuri kabisa. PCB ni msingi tu. Ila wanafunzi wanaosomea fani mbalimbali na kufaulu na kutunukiwa degree zao. Wapo vizuri tu. Sijui labda kama una mfamasia unamfahamu kamaliza mvua nne pale Muhimbili kihalali kabisa na hayupo vizuri ?Tuwape heshima zao jamani.
 
Hivi kuna mfamasia kamaliza 4 years pale Muhimbili na hajui kazi yake aliyoisomea na ana degree kabisa ?Come on. Wapharmasia wapo vizuri kabisa. PCB ni msingi tu. Ila wanafunzi wanaosomea fani mbalimbali na kufaulu na kutunukiwa degree zao. Wapo vizuri tu. Sijui labda kama una mfamasia unamfahamu kamaliza mvua nne pale Muhimbili kihalali kabisa na hayupo vizuri ?Tuwape heshima zao jamani.

Mnhhhh..hao madaktari tu wana suffer ajira hakuna.ndio itakuwa mfamasia..ni kwa vile tu sijui ku search database lol ningekujia na statistics..anyway this is not my topic..and yes kwa nchi kama yetu tunahitaji specialization mapemaa..sio tu kwenda 'deep' mapema au baadae..lol
 
Mnhhhh..hao madaktari tu wana suffer ajira hakuna.ndio itakuwa mfamasia..ni kwa vile tu sijui ku search database lol ningekujia na statistics..anyway this is not my topic..and yes kwa nchi kama yetu tunahitaji specialization mapemaa..sio tu kwenda 'deep' mapema au baadae..lol
Sasa soko la ajira hiyo ni issue nyingine. Ila kusema watu wanamaliza degree zao na hawana ujuzi hapo sikubaliani na wewe. Sasa hata kama utakuwa na specialization za mapema zipo kabisa.
Na ndo maana tukimaliza form four kuna ile Selform huwa unachagua kwenda chuo ama A level.
Ukichagua kwenda chuo maana yake umechagua kuingia kwenye fani mapema.
 
Sasa soko la ajira hiyo ni issue nyingine. Ila kusema watu wanamaliza degree zao na hawana ujuzi hapo sikubaliani na wewe. Sasa hata kama utakuwa na specialization za mapema zipo kabisa.
Na ndo maana tukimaliza form four kuna ile Selform huwa unachagua kwenda chuo ama A level.
Ukichagua kwenda chuo maana yake umechagua kuingia kwenye fani mapema.

Watu wanamaliza vyuo hawana ujuzi ndio,kama mtu anasoma PCB na Miaka minne ya ufamasia..na hawezi kujiajiri ama kuajiriwa.na wakati umesema hawashindwi kutengeneza madawa.ujuzi wake anaonyesha wapi sasa???.
sawa kama choices zipo kwa kwenda chuo ama A level,sasa kwa nini unapinga watoto wasipewe more choices kwa kwenda A level kwa masomo specific wanayotaka?? huoni kama na wao wangependa kujifunza fani yao wakiwa wadogo?????.
 
mnhhh aisee.

wewe unaona sawa ku specialize juu na sio kuanzia chini?

Piga kelele kuwe na options nyingi vyuoni mkuu....
Unaspecialize huku ukielekea juu... Kadri unavyopanda level tunakupunguzia mzigo wa masomo au material za kusoma.Ni preferences zako sasa udondoshe masomo gani na uendelee na yapi.Hivyohivyo hadi unafikia ndoto zako.
Sidhani kama ni mfumo mzuri kusoma jambo moja tu katika ngazi tofauti za kielimu,mfano unavyodai mwanafunzi asome uhasibu A'level bila kusoma mambo mengine kisha chuo asome huohuo uhasibu..,Hata chuoni mfano udaktari kwenye degree utasoma vingivingi ila baadaye ukiamua kujiendeleza ndo utaspecialize sasa kama ni moyo,jicho n.k..Sasa why usiende moja kwa moja kwenye jicho au moyo au neurons?
Na kingine nachokazia ni machaguo mengi, hata Victoire kaliongelea,Form 6 mtu anakuwa keshakuwa na kupevuka,mfano kasoma PCM machaguo kwake yanakuwa mengi;anaweza enda Civ.engineering,CS,CE au popote anapotaka yeye kulingana na ufaulu wake.
 
Watu wanamaliza vyuo hawana ujuzi ndio,kama mtu anasoma PCB na Miaka minne ya ufamasia..na hawezi kujiajiri ama kuajiriwa.na wakati umesema hawashindwi kutengeneza madawa.ujuzi wake anaonyesha wapi sasa???.
sawa kama choices zipo kwa kwenda chuo ama A level,sasa kwa nini unapinga watoto wasipewe more choices kwa kwenda A level kwa masomo specific wanayotaka?? huoni kama na wao wangependa kujifunza fani yao wakiwa wadogo?????.
Naomba kujua A level ulisoma combination gani na according to wewe unataka vitu vipi viongenzwe. Kwa mimi niliesoma PCB sihitaji chochote kiongenzwe yaani ningetamani hata wapunguze.
Kuhusu kujiajiri ni mtaji pia unahitajika.
Kuhusu kuajiriwa hao waliopo wanafanya kazi almost wote wamesoma mfumo huu huu uliopo.
Halafu ujue kujiajiri hata kuna Kina Kishimba wameishia la nne lakini wameajiri watu na ma degree yao.
Kusoma kuwa na ujuzi unao ila soko la ajira ni mtihani maana huko kumejaa na mzunguko wa kucreate ajira ni mdogo.
 
utakuwa hujasoma Advance, chuo chenyewe utakuwa hukijui vizuri!
 
Kwani masomo ya A'level hayamuandai mwanafunzi na masomo ya chuo?!! Kama hoja yako ndiyo hii nadhani tunatofautiana sana. Umesoma kombi gani na chuo unasoma nini mkuu? Nilichosoma A'level na nilichoenda kusoma chuo unaweza kushangaa, lakini kiuhalisia masomo ya A'level yamekuwa msaada mkubwa mno chuoni.
 
Naomba kujua A level ulisoma combination gani na according to wewe unataka vitu vipi viongenzwe. Kwa mimi niliesoma PCB sihitaji chochote kiongenzwe yaani ningetamani hata wapunguze.
Kuhusu kujiajiri ni mtaji pia unahitajika.
Kuhusu kuajiriwa hao waliopo wanafanya kazi almost wote wamesoma mfumo huu huu uliopo.
Halafu ujue kujiajiri hata kuna Kina Kishimba wameishia la nne lakini wameajiri watu na ma degree yao.
Kusoma kuwa na ujuzi unao ila soko la ajira ni mtihani maana huko kumejaa na mzunguko wa kucreate ajira ni mdogo.

Mkuu bwana eti wapunguze.. are you serious?,hapo mlipo mlipo mna choices chache wewe unataka wapunguze..labda ndio maana hatuelewani, masomo kama udaktari haiwezekani kusoma A level..je unadhania kungekua na choice ya kuanza kusoma udaktari kuanzia A level , wewe ndio ungeenda kusoma PCB ya nini??...huo ni mfano tuu...

Naona umeweka collectively mitaji hamna, kaangalie tena mtaani kama wafamasia wote unaowajua ni kwamba wamekosa mitaji ya kuuza 'dawa walizotengeneza wenyewe'..???? ....if not why hawako kwenye ajira?

Kuajiriwa yes, wanaajiriwa, lakini mwajiri gani angekupa kazi wewe mfamasia uliyesoma miaka minne tu au yule aliyesoma Pharmacy A level kwanza.. labda na baadae Diploma au Degree.....????........swala ni kwenda deep kwenye fani yako.... watoto waandaliwe kwenda 'deep' na sio kuwasomesha vitu irrelevant..
 
utakuwa hujasoma Advance, chuo chenyewe utakuwa hukijui vizuri!

Jikite kwenye mada,sijui ulienda chuoni kufanya nini kama una argue kitoto namna hii
 
Kwani masomo ya A'level hayamuandai mwanafunzi na masomo ya chuo?!! Kama hoja yako ndiyo hii nadhani tunatofautiana sana. Umesoma kombi gani na chuo unasoma nini mkuu? Nilichosoma A'level na nilichoenda kusoma chuo unaweza kushangaa, lakini kiuhalisia masomo ya A'level yamekuwa msaada mkubwa mno chuoni.

Mnhhhh je kama ungesomea A level ulichosomea Chuoni,huoni kama chuo ni kwenda ku consolidate tu mambo???...
 
Unaspecialize huku ukielekea juu... Kadri unavyopanda level tunakupunguzia mzigo wa masomo au material za kusoma.Ni preferences zako sasa udondoshe masomo gani na uendelee na yapi.Hivyohivyo hadi unafikia ndoto zako.
Sidhani kama ni mfumo mzuri kusoma jambo moja tu katika ngazi tofauti za kielimu,mfano unavyodai mwanafunzi asome uhasibu A'level bila kusoma mambo mengine kisha chuo asome huohuo uhasibu..,Hata chuoni mfano udaktari kwenye degree utasoma vingivingi ila baadaye ukiamua kujiendeleza ndo utaspecialize sasa kama ni moyo,jicho n.k..Sasa why usiende moja kwa moja kwenye jicho au moyo au neurons?
Na kingine nachokazia ni machaguo mengi, hata Victoire kaliongelea,Form 6 mtu anakuwa keshakuwa na kupevuka,mfano kasoma PCM machaguo kwake yanakuwa mengi;anaweza enda Civ.engineering,CS,CE au popote anapotaka yeye kulingana na ufaulu wake.

Hapana mkuu, si kweli mnapunguzia mtu mzigo wa masomo,au material za kusoma..kila level ina challenges zake..ambazo haziwezi kuwa compared na level above ama level below...kufikia ndoto zako mojawapo ni kusoma kitu unachotaka kufanya in the future...mfano uliotoa wa Udaktari, unatosha kabisa kuelezea wazo langu..kusoma O level masomo mengi mengi ila A level mtu ana specialize kusoma anayotaka kusoma in the future... hii haimaanishi mtu asome somo moja, ila kwa kila combination mtu kuwe na component ya somo mtu analolitaka kusoma kwenye future....
 
Mkuu bwana eti wapunguze.. are you serious?,hapo mlipo mlipo mna choices chache wewe unataka wapunguze..labda ndio maana hatuelewani, masomo kama udaktari haiwezekani kusoma A level..je unadhania kungekua na choice ya kuanza kusoma udaktari kuanzia A level , wewe ndio ungeenda kusoma PCB ya nini??...huo ni mfano tuu...

Naona umeweka collectively mitaji hamna, kaangalie tena mtaani kama wafamasia wote unaowajua ni kwamba wamekosa mitaji ya kuuza 'dawa walizotengeneza wenyewe'..???? ....if not why hawako kwenye ajira?

Kuajiriwa yes, wanaajiriwa, lakini mwajiri gani angekupa kazi wewe mfamasia uliyesoma miaka minne tu au yule aliyesoma Pharmacy A level kwanza.. labda na baadae Diploma au Degree.....????........swala ni kwenda deep kwenye fani yako.... watoto waandaliwe kwenda 'deep' na sio kuwasomesha vitu irrelevant..
Umesoma combination gani A level?Hiyo combination uliosoma ulitaka waongeze nini ?Twende kwa details. Maana unasema tu waongeze. Mimi kwa combination yangu niliyosoma ni msingi imara ambao umenisadia chuo.
Wewe unaepinga tupe mfano kulingana na mfano wewe kama wewe. Otherwise unaongea vitu ambavyo haujaviishi.
 
Back
Top Bottom