Maskini mwandosya mungu ampe nguvu jamani!!

Maskini mwandosya mungu ampe nguvu jamani!!

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
61,023
Reaction score
36,891
Mungu baba mwenye enzi yote muumba mbingu na dunia mjaza neema ndogo ndogo na kubwa ndefu na fupi nene na nyembamba tunaomba kama watakatifu wako utusamehe dhambi zetu zote tulizofanya kwa kuwaza kunena na kwa kutenda ..MUNGU baba tunaomba ushushe uponyaji wa ko juu ya kiumbe wako prof mwandosya ambae amerudi kutoka india

MUNGU mwenyezi tunaamini akuna kinashindikana kwako ulimtoa mwanao kwa ajili yetu na kwa kupigwa kwake YESU mwandosya amekwisha pona ..MUNGU baba naomba utamalize maadui zake wote wanaotarajia kumzika prof mwandosya tunatangza uhai juu ya maisha yake

wewe ni MUNGU unaesema unaesikia ulisema kwenye hesb 14:28 lolote tutakalo sema nafsini mwetu unakwenda kufanya ninatangaza uponyaji juu ya mzee wetu ninatangaza nguvu juu ya mzee wetu na wote wanaomsaidia kwenye uhai wake kupitia mwanao YESU KRISTO tunaomba

na kama waamini mungu sema

Ameeennnnnnniiiii
 
Pengine weewe ni mmoja wa ndugu wa mwandosya aliekuja kumpokea majuzi najua kwa hali ya kibinadamu ni ngumu kuamini hali yake na alivyokuwa napenda kuwatia nguvu familia leoo leooooo nawatangaziaa uponyaji wa YESU juu ya mwandosya yesu amekuja kusafisha ,kusafisha kansa ya damu anayosumbuliwa ,kisukari na magonjwa yotee yanayoitwa sugu YESU akuwa na usugu kama alimnyanyua lazaro aliekuwa kaburini siku tatu na kunuka leo hii ......naomba muamini YESU ni yeye yule jana na leo na hata milele akuja kuokoa waliookolewa amekuja kuokoa wenye shida...naomba muamini MUNGU anaweza mama yetu jipe moyo natamani kupata nafasi ya kumwombea mzee naamini MUNGU hana dist..popote tutakapotuma moto wa YESU magonjwayanakwenda kuisha ...uchawi unakwenda kuisha yamkini wapo maadui wanafikiria kuja na marange yao kukuzika leo hii natangaza kuwaondoa na kuwafyeka kama baibo inavyosema usiache mchawi aishi basi natangaza maadui zako kuanza kufyeka in JESUS name
MUNGU wa mbinguni akawape imani ya uponyaji..nilimwona kwa mbali nikaamini MUNGU atamnyanyua pale alipo...MUNGU anasafisha damu jamani tuamini hilo....
 
Mungu baba mwenye enzi yote muumba mbingu na dunia mjaza neema ndogo ndogo na kubwa ndefu na fupi nene na nyembamba tunaomba kama watakatifu wako utusamehe dhambi zetu zote tulizofanya kwa kuwaza kunena na kwa kutenda ..MUNGU baba tunaomba ushushe uponyaji wa ko juu ya kiumbe wako prof mwandosya ambae amerudi kutoka india

MUNGU mwenyezi tunaamini akuna kinashindikana kwako ulimtoa mwanao kwa ajili yetu na kwa kupigwa kwake YESU mwandosya amekwisha pona ..MUNGU baba naomba utamalize maadui zake wote wanaotarajia kumzika prof mwandosya tunatangza uhai juu ya maisha yake

wewe ni MUNGU unaesema unaesikia ulisema kwenye hesb 14:28 lolote tutakalo sema nafsini mwetu unakwenda kufanya ninatangaza uponyaji juu ya mzee wetu ninatangaza nguvu juu ya mzee wetu na wote wanaomsaidia kwenye uhai wake kupitia mwanao YESU KRISTO tunaomba

na kama waamini mungu sema

Ameeennnnnnniiiii

Pididy sikujua una imani iliyo na nguvu.
Naungana nawe kumwombea Prof Mwandosya a pate nafuu, maumivu yote ni kazi ya mwovu lakini Prof atayashinda yote katika Yeye atakaye mtia nguvu.
Kabla sijalala NaombaMungu aliye hai amsaidie ayapite yote salama.
Amen
 
Na iwe kama ulivyhoomba, yote katika jina lipitalo majina yote la Yesu Kristo!
 
Castle light zinaongea hapo......utadhani siku hizi wanazifanyia cocktail na Biblia!!...
 
Castle light zinaongea hapo......utadhani siku hizi wanazifanyia cocktail na Biblia!!...
Shetani mkubwa wewe toka kwa jina la Yesu kristo. Ushindwe na ulegee.... pepo mchafu nakuamuru toka.
 
Shetani mkubwa wewe toka kwa jina la Yesu kristo. Ushindwe na ulegee.... pepo mchafu nakuamuru toka.
huyu sio wa kutoka tu atoke na fyekwe na mapanga kwa jina la YESU wala asirudi tena humu unajua unawezakuwa unajua ameandika mtu kumbe mapepo matupo loh.....kwa jina lililo Kuu kupita yote Jina la Yesu usirudid tennnnnaaaaaaaaa
 
MUNGU ndo nani?
YESU ni yupi?
pole mpwa too late wenye ufahamu atuko hapa kubishana tuko kumwombea Mwandosya
ushauri tu Mwombe Mungu akupe ufahamu najua sio wewe ndio maana Mnapeleka watoto wa miaka miwili chuo chuo gani wanasoma watoto wa miaka miwili jamani....
 
Baba Mungu Mwenyezi, wewe uliyejifunua kwetu kama Mwanakondoo mtiifu, Yesu, wewe ambaye unatamalaki mioyoni mwetu kwa kumtumia Roho wako mtakatifu,
tumamsogeza mbele yako Mzee wetu, tazama maumivu yake, tazama tabu zake. Ni wewe umesema kuwa kwa kipigo cha Yesu pale Msalabani sisi tumepata kupona.
Damu yako yenye utakaso, damu yako inayosafisha, Damu yako inayofanya mwanadamu awe mpya, itumike sasa kumpa uzima Mzee Mwandosya. Tunaamini hakuna nguvu za uchawi wala majini yanayoweza kushindana nawe Mungu Yesu. Shughulika na afya ya Mzee wetu na naamini katika Jina pekee la Uponyaji la YESU kristo, Mzee Mark Mwandosya atapona.
 
MUNGU ndo nani?
YESU ni yupi?

Anzisha thread yako yenye maswali ya hivyo utapata majibu kadiri ikupasavyo. Mimi nitakupa shule mwafaka. Hii thread ni kwaajili ya kumwombea mzee wetu Mwandosya ili Mungu wa UTATU ambaye ndiye Mungu pekee aliyetuumba sote amponye. Na atamponya tu, sema AMEN
 
wanyakyusa banaah........:gossip:
:gossip:
 
wanyakyusa banaah........:gossip:
:gossip:

Wanyakyusa wamefanya nini? Watu tumekaza kumwomba Mungu amponye mzee wetu Prof. Mwandosya, wewe unataka kuongea na wanyakyusa; watafute uongee nao!

Eeh Mungu usimwache mtumwa wako Mwandosya aendelee kuteseka ktk maumivu yake makali. Ingilia kati na umponye Mark! Wewe ambaye unamjua Mark ndani na nje; ng'oa mzizi wa ugonjwa wake ili na matawi yaweze kunyauka, ni ktk jina la Yesu tunaomba! Wote tuitikie Ameni!
 
huyu sio wa kutoka tu atoke na fyekwe na mapanga kwa jina la YESU wala asirudi tena humu unajua unawezakuwa unajua ameandika mtu kumbe mapepo matupo loh.....kwa jina lililo Kuu kupita yote Jina la Yesu usirudid tennnnnaaaaaaaaa

Aaaaa! Pdidy umeanza unaharibu sijawai kusikia panga likifyeka kwa jina Yesu.....pamoja sana kumwombea mzee wetu.
 
Back
Top Bottom