Mwanaume wa Shoka
Member
- Feb 15, 2014
- 99
- 17
Naombeni msaada wa kutumia njia ya smart fonr
Kwanini usiwailize majiran?
Tafuta namba Za majiran wawe wanakupa update jamaa akija na Kama amelala
au lah....,
Sent from my iPhone using JamiiForums
nAWAOMBA WENYE MAWAZO YA BUSARA NA WANIPE USHAURI.MKE WANGU NI MFANYAKAZI WA SERIKALIN KATIKA MIKOA YA KASKAZINI NA MIMI NIKO MKO MWINGINE HUWA NINA TABIA YA KUMTEMBELEA MARAKWAMARA ILA TATIZO NIMEKUWA NA MASHAKA NA MFANYAKAZI MWENZIWE NA KILA NIMULIZAPO ANALALAMA SANA NA KULIA USIKU MZIMA NA HATA SAA NYINGINE KUPOTEZA FAHAMU NA KUDAI HANA MAHUSIANO KABISA NA MTU HUYO KABISA NA KUDAI NI RAFIKI TU SASA NABAKI NJIA PANDA NIFANYEJE COZ HUYO RAFIKIYE KUNA SIKU ANAKUJA HAPA NYUMBANI NA KUNIKUTA NA TUNAONGEA KIDOGO NA KUONDOKA SASA SIJUI SIKU NISIPOKUWEPO INAKUWAJE.
M- suprise
Kama una kifua lakini
baddo sijaona cha kukuweka roho juu hapo!
Kama akiulizwa kwa simu anazimia na kilio kama mamba wa kariakoo, sasa akisapraiziwa si ata-rip?
Kama akiulizwa kwa simu anazimia na kilio kama mamba wa kariakoo, sasa akisapraiziwa si ata-rip?
mkoromee mwambie hata akilia mpaka anye haisaidii we unachotaka mazoea na hao kenge wake huko kazini yaishe.
ndugu zanguni! kuna ukweli mwingine ukiujua unakuumiza mpaka mwisho wa uhai wako.
kamuuliza mkewe kasema hana mahusiano inatosha.
Piga marufuku simamia nafasi yako kama mwanaume kama anakupenda ataacha huo upuuzi eti wa kuwa na rafiki huku ameolewaasante sana braza