Mwanamke ukishaolewa marafiki wa kiume wa nn, mpige marufuku na asimame kama mwanaume
Nawaomba wenye mawazo ya busara na wanipe ushauri.mke wangu ni mfanyakazi wa serikalini katika mikoa ya kaskazini na mimi niko mko mwingine huwa nina tabia ya kumtembelea marakwamara ila tatizo nimekuwa na mashaka na mfanyakazi mwenziwe na kila nimulizapo analalama sana na kulia usiku mzima na hata saa nyingine kupoteza fahamu na kudai hana mahusiano kabisa na mtu huyo kabisa na kudai ni rafiki tu sasa nabaki njia panda nifanyeje coz huyo rafikiye kuna siku anakuja hapa nyumbani na kunikuta na tunaongea kidogo na kuondoka sasa sijui siku nisipokuwepo inakuwaje.
Kwa nini usifanye mpango akahamia huko wewe uliko au wewe ukahamia aliko yeye?
Naombeni msaada wa kutumia njia ya smart fonr
Nawaomba wenye mawazo ya busara na wanipe ushauri.mke wangu ni mfanyakazi wa serikalini katika mikoa ya kaskazini na mimi niko mko mwingine huwa nina tabia ya kumtembelea marakwamara ila tatizo nimekuwa na mashaka na mfanyakazi mwenziwe na kila nimulizapo analalama sana na kulia usiku mzima na hata saa nyingine kupoteza fahamu na kudai hana mahusiano kabisa na mtu huyo kabisa na kudai ni rafiki tu sasa nabaki njia panda nifanyeje coz huyo rafikiye kuna siku anakuja hapa nyumbani na kunikuta na tunaongea kidogo na kuondoka sasa sijui siku nisipokuwepo inakuwaje.
Tatizo ni kwamba hawa wanawake ndo wanawashobokea sana wanaume mwisho wa siku anapigwa mistari na siku hz neno no kwa wengi halitamkiki ni yes kwenda mbele.
hiyo ni defencive mechanism yake! nilishakua na demu wa hivyo! nikawa namuonea huruma naona kama namuonea, mwisho wa siku yale niliokua nikimuuliza mpaka analia niliyabaini ..........Wakuu mimi naona swala ni yeye kulia mpaka kuzirai hiyo ni geresha. Tena kwa mtazamo wangu ni kuwa hujo mke analia kwa kuwa mahusiano yake na kidumu chake yamefahamika. Ni kujikinga tu. Na tayari wana mahusiano ya muda mrefu. Naona manyoya hapa. Sijui nyie wakuu. Mwanume mkamilifu anafahamu maadili ya ndoa hawezi kuwa karibu sana na mke mtu .labda awe bwab.........????????
Pole sana mkuu. Katika maisha wengi wetu tukiulizwa swali hili, " unatafuta nini maishani? Majibu huwa; nyumba nzuri, gari, nguo e.t.c" Lakini katika maisha huwa tunatafuta "furaha" hayo yote ni njia ya kuifikia hiyo furaha.Nawaomba wenye mawazo ya busara na wanipe ushauri.mke wangu ni mfanyakazi wa serikalini katika mikoa ya kaskazini na mimi niko mko mwingine huwa nina tabia ya kumtembelea marakwamara ila tatizo nimekuwa na mashaka na mfanyakazi mwenziwe na kila nimulizapo analalama sana na kulia usiku mzima na hata saa nyingine kupoteza fahamu na kudai hana mahusiano kabisa na mtu huyo kabisa na kudai ni rafiki tu sasa nabaki njia
panda nifanyeje coz huyo rafikiye kuna siku anakuja hapa nyumbani na kunikuta na tunaongea kidogo na kuondoka sasa sijui siku nisipokuwepo inakuwaje.
Mwenzetu umeoa au ni kama sie tunaotheorisi tu.Mkuu kuwa makini sana, wanawake ni wadhaifu sana, imeandikwa kuwa tuishi nao kwa umakini sana, wewe fikiria tu kuwa Mwanaume akimwambia mwanamke kuwa " Nakupenda" tayari wenzetu wanaanza kuvuta hisia....unajua ni kwa nini?
Hata kama kwa sasa hawajaanza ila yawezekana fisibility study ndo imeanza hivyo na baada ya muda si mrefu ujenzi utaanza.
Fanya hivi; tafuta mtu aanze kuwa-track, then utaaga kuwa unarudi Dar, kisha jamaa akishaingia mwako huyo tracker atakujulisha kuwa tyr kaja, utarudi taratibu tu hadi kwako kwa kunyata ili uweze kumnasa.
Siyo kosa kwa wanandoa kuchungana watu wanaepuka mengi sana ikiwemo, kulea damu ya mwingine, magonjwa nk.