Maskini mke wangu

Maskini mke wangu

hoja yako nzuri mkuu ila tatizo haisomeki vyema kwani iko kama kfb vile sorry lakini
Mm huwa naamn ndoa inajengwa watu 2 endapo tu watajua nafasi walizonazo waztumie vp il kuleta amani ya kudumu ndan ya ndoa zao,na nowdayz wnk watumia cryin as a defence mechanism on doing their rubbish,mke wa mtu urafk wa kiholela na me unakusaidia nn?
 
chakufanya mkuu wewe fanya mipango ya kumuhamisha kikazi aje uliko wewe hapo ndipo utaiponya ndoa yako

au cha kufanya kuwa mtu wa maombi ombea familia na mkeo aokolewe
 
Pole sana mkuu. Katika maisha wengi wetu tukiulizwa swali hili, " unatafuta nini maishani? Majibu huwa; nyumba nzuri, gari, nguo e.t.c" Lakini katika maisha huwa tunatafuta "furaha" hayo yote ni njia ya kuifikia hiyo furaha.
Huyo mkeo anahitaji kampani ni upweke unamsumbua mkuu. Jitahidi umuhamishe muwe pamoja anahitaji "furaha".
There is a point in life when a woman need more than money in search for happiness like someone who she can talk to anytime, comfort her, make her laugh e.t.c :A S angel:

nipm nikutumie vocha sure all in all FURAHA ndo maisha:BIG UP
 
Ha ha ha ha. . Eti anazimia kisa kuulizwa.. haya subr ukute manyoya ndio ujue kuwa keshaliwa
 
Usiwe na wivu. Kama una tabia ya kuchepuka lazima umuwazie mabaya mwenzio.
 
Nionavyo mimi...
1. Kulia na kuzimia hakumaanishi hajafanya makosa, tena wengine ni zuga na wengine ni roho inamsuta
2. Mwambie, mtahadhirishe, na muonye kuwa urafiki wa namna hiyo yeye mke wa mtu na mwanaume mwingine uishie kazini, si nyumbani wala baada ya kazi. Hata kama hana nia mbaya, huko ni kukaribisha majaribu kabisaaaa. Urafiki wa kazini ni rahisi kuishia kazini, ila ukiendelea hadi nyumbani ujue kuna hatari ya kufika kitandani, especially kama mwenza yuko mbali. Mimi si muumini wa urafiki uliopitiliza wa mwanaume na mwanamke waliobalehe.
3. Ikiwezekana ahamie karibu na wewe, hata kama ni kusacrifice kazi. Kaeni chini moune kipaumbele ni nini
 
Kitu cha "Couple tracker" au "Girl/Boyfriend tracker" inahusu hapo.

Lakini angalia, usije ukajuta na kuuma meno mkuu!! Kumbuka ndoa nyingi zimevunjika kupitia application hizi.
mkuu hii nayo inafanyaje kazi!unaiweka kwenye simu zote mbili?
 
huwa unamuuliza au unampa kipigo? manake kuulizwa tu ndo alie hadi azimie loh
 
Kitu cha "Couple tracker" au "Girl/Boyfriend tracker" inahusu hapo.

Lakini angalia, usije ukajuta na kuuma meno mkuu!! Kumbuka ndoa nyingi zimevunjika kupitia application hizi.

bora ivunjike tu kuliko kupangwa foleni mkuu
 
Ukimchunguza sana bata hutomla, acha kumchunguza mke wako, kama anauhusiano na huyo jamaa itabainika tu,ukiendelea kumchunguza sana mkeo mwisho wake utaishia kumuacha tu,
 
Unajua wengi humu jukwaani mara nyingi mnafanya mzaha!, mtu anaomba ushauri alafu mnamwambia anunue smart phone bila kumueleza matumizi yke sasa itasaidia nn
 
Back
Top Bottom