Alianza kumuondoa katika Baraza la mawaziri.
Licha ya kushika nafasi ya kwaza katika kura za wajumbe pale Tanga mjini jina lake limekatwa huku Halmashauri Kuu ya CCM NEC
Ummy tajiri wa kutupwa nae unamuhurumia ummy ambae soon atakuwa kwenye cheo chochote na kuendelea kuvuta mamilioni yani hii kupigwa sub kidogo kelele kama zote mbona kangi lugola yule pale karudi ndani ya nyumba
Hapo aliongea ukenge na yeye maana kuwa Rais haizuii personal life hasa pombe na hizo sijui fegi
We Ile view ya bahari kutokea pale ikulu jioni na upepo mwanana ungeusindikiza na nn hasa ukiwa umechanganywa na mambo meeeeeengi
Alianza kumuondoa katika Baraza la mawaziri.
Licha ya kushika nafasi ya kwaza katika kura za wajumbe pale Tanga mjini jina lake limekatwa huku Halmashauri Kuu ya CCM NEC