FourTwoNet
JF-Expert Member
- Aug 4, 2022
- 1,403
- 2,749
Baba wa taifa(my foot) aliachia juzi tu hapa mwaka wa 1985, akamuachia Mzee Rhuksa ambaye kwa maoni yangu.... ndiye baba wa kweli wa taifa.
Tukumbuke kuwa sera kuu ya baba wa taifa ilikuwa ni "watu wengi wenye akili, na utajiri hawawezi kutawaliwa, wataleta vurugu". Hivyo basi baba yenu alijikita kuhakikisha ujinga na umaskini unazoeleka.
Utaskia mzazi wako anakuambia proudly "enzi hizo ukikutwa una T.V unaulizwa umetoa wapi".
Unaambiwa shule zilikuwa chache makusudi...utaskia "oooh flani ilibidi asome kwa jina la flani maanake flani alikosa mabati ya kupeleka shule"....unaambiwa ilikuwa kama huwezi kushika skio la kushoto kwa kupitisha mkono wa kulia juu ya kichwa husomi. 🤣🤣🤣
Mpiga ramli akipewa nchi bana...
Hebu pata picha sasa vijana wa kipindi hicho ndio viongozi wa sasa. Maskini ndio kwanza kapata.
Nikiskiaga watu wanasema ooh, baba wa taifa sjui nini, nasikitika sana.
Tukumbuke kuwa sera kuu ya baba wa taifa ilikuwa ni "watu wengi wenye akili, na utajiri hawawezi kutawaliwa, wataleta vurugu". Hivyo basi baba yenu alijikita kuhakikisha ujinga na umaskini unazoeleka.
Utaskia mzazi wako anakuambia proudly "enzi hizo ukikutwa una T.V unaulizwa umetoa wapi".
Unaambiwa shule zilikuwa chache makusudi...utaskia "oooh flani ilibidi asome kwa jina la flani maanake flani alikosa mabati ya kupeleka shule"....unaambiwa ilikuwa kama huwezi kushika skio la kushoto kwa kupitisha mkono wa kulia juu ya kichwa husomi. 🤣🤣🤣
Mpiga ramli akipewa nchi bana...
Hebu pata picha sasa vijana wa kipindi hicho ndio viongozi wa sasa. Maskini ndio kwanza kapata.
Nikiskiaga watu wanasema ooh, baba wa taifa sjui nini, nasikitika sana.