Ni masikitiko ya wazi kuwa sasa hakuna tena jinsi! yule fisadi mkuu lowasa sasa ameshawanunua wapinzania wote, baada ya kuweza kununua kanisa kubwa na taasisi ya kanisa katoliki, safari ya lowasa sasa kwenda ikulu ni nyeupe hapa chini nawasilisha kwa nini ninamini hivyo
1.wiki moja iliyopita nilizungumza na mmoja wa wakurugenzi wa gazeti la mwanahalisi(siyo kubenea) na alinitamkia wazi wazi kuwa kuna uhusiano mkubwa wa gazeti hili na lowasa, amekuwa karibu nao na nyie mnajua kuwa gaazeti hili lilikuwa ni kipaza sauti cha wanyonge wengi, lakini siku za karibuni ndilo linalomtetea lowasa.
2. lowasa mwenyewe amelalamika kuwa wanaomwita fisadi ni wanaccm wenzake na wala siyo chadema au wapinzani wenzake, it means anajua wazi wazi mkataba alioingia na chadema kuwa wasimshambulie. kayasema hayo kwenye NEC ya ccm na hadileo hakuna kiongozi yeyote wa upinzani hasa chadema alikanusha jambo ambalo si kawaida kwa chadema
3. katika mkumbo huo huo hata sumaye ambaye yuko karibu na a chadema naye ameanza kucheza ngoma moja na chadema kumsifia lowasa na kutaka wanaomwita fisadi wawajibinshwe.
4. kwa muda mrefu sasa, hata uongozi wa juu wa chadema hasa makamanda hawazunguzii tena lowasa bali tuhuma za jumala jumla tu
5. gazeti la mtanzania daima linalomilikiwa na freeman mbowe limekuwa kinara wa kufichua mbimu zozote za kumweondoa lowasa ccm, huenda kwa uhusiano mzuri uliopo kati ya lowasa na upinzani amekuwa aanapenyeza hoja zake za kuandamwa ccm na kuzipleleka freeemedia ya mbowe,
6. kuna mkakati mahususi wa makanisa na lowasa na kanisa katoliki nalo limenasa katika mtego huo baada ya kadhia ya mchungaji T.B.joshua kutamka kuwa lowasa atalkuwa rais.
huu ni ukweli na taifa linaelekea kwenye udikteta wa mtu mmoja hatari anayemiliki 80% ya uchumi wa nchi sasa kuingia ikulu kwa kuwanunua wale wote wenye mtizamo tofauti na wake
wenye hoja kanusheni haya lakini njaa zimetawala utashi na dhamira ya taifa kupambana na ufisadi
1.wiki moja iliyopita nilizungumza na mmoja wa wakurugenzi wa gazeti la mwanahalisi(siyo kubenea) na alinitamkia wazi wazi kuwa kuna uhusiano mkubwa wa gazeti hili na lowasa, amekuwa karibu nao na nyie mnajua kuwa gaazeti hili lilikuwa ni kipaza sauti cha wanyonge wengi, lakini siku za karibuni ndilo linalomtetea lowasa.
2. lowasa mwenyewe amelalamika kuwa wanaomwita fisadi ni wanaccm wenzake na wala siyo chadema au wapinzani wenzake, it means anajua wazi wazi mkataba alioingia na chadema kuwa wasimshambulie. kayasema hayo kwenye NEC ya ccm na hadileo hakuna kiongozi yeyote wa upinzani hasa chadema alikanusha jambo ambalo si kawaida kwa chadema
3. katika mkumbo huo huo hata sumaye ambaye yuko karibu na a chadema naye ameanza kucheza ngoma moja na chadema kumsifia lowasa na kutaka wanaomwita fisadi wawajibinshwe.
4. kwa muda mrefu sasa, hata uongozi wa juu wa chadema hasa makamanda hawazunguzii tena lowasa bali tuhuma za jumala jumla tu
5. gazeti la mtanzania daima linalomilikiwa na freeman mbowe limekuwa kinara wa kufichua mbimu zozote za kumweondoa lowasa ccm, huenda kwa uhusiano mzuri uliopo kati ya lowasa na upinzani amekuwa aanapenyeza hoja zake za kuandamwa ccm na kuzipleleka freeemedia ya mbowe,
6. kuna mkakati mahususi wa makanisa na lowasa na kanisa katoliki nalo limenasa katika mtego huo baada ya kadhia ya mchungaji T.B.joshua kutamka kuwa lowasa atalkuwa rais.
huu ni ukweli na taifa linaelekea kwenye udikteta wa mtu mmoja hatari anayemiliki 80% ya uchumi wa nchi sasa kuingia ikulu kwa kuwanunua wale wote wenye mtizamo tofauti na wake
wenye hoja kanusheni haya lakini njaa zimetawala utashi na dhamira ya taifa kupambana na ufisadi