Masikini Zitto Kabwe, umesahaulika kabisa

Masikini Zitto Kabwe, umesahaulika kabisa

Inaonekana ukibishana na chizi na ww utakua chizi . Kwa heri tu

Nenda kambembeleze mgombea urais labda atakubali kuijaza hiyo form ya urais mliyo mchukulia na sasa mnatembea nayo mfukoni kama leso ya kufutia jasho,angalia vibaka wasi waibie
 
kiongozi mkuu wa wakuuu wote amechemka sana kuchukua fomu ya urais bila chama kuwa na mgombea, mi namshauri amchukue rafiki yake january kuwa mgombea wa act maana hata kule kwao walimuona anafaa hadi kufika tano bora.

Ushauri mzuri sana huu
 
ACT state sponsored party kuvuruga upinzani.

Simplemind tuseme ukweli kwenye hili.
Siku zote CHADEMA walisema kuwa ACT iko sponsored na Lowassa ili agombee urais kupitia chama hicho.
ACT ilisakamwa sana lakini leo wote tunajua kuwa Lowassa anagombea urais kupitia CHADEMA na sio ACT.

Ujasiri wa ZZK kukitangaza chama chake kipya na kupata wagombea wengi wa ubunge katika majimbo ya bara na visiwani ni wa kupigia mfano.

ACT ina wagombea katika majimbo mengi bara kuliko CUF na NCCR kwa pamoja (2010 na 2015) na majimbo mengi Zanzibar kuliko CHADEMA ilivyowahi kuthubutu.

Sikubaliani na ZZK katika mambo kadhaa ila kwa hili la kuthubutu katika uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu kwa kiwango hiki ninampa heko.

Mbinu za kisiasa mwaka huu ni "the end justifies the means" hata ikibidi kuungana na adui yako mkuu, hata ikibidi kuwatosa rafiki zako wa miaka mingi, hata ikibidi kuonja sumu. CHADEMA wameonyesha mfano na kutoa changamoto kubwa katika siasa na uchaguzi mkuu.
 
Wamechukua form bila kuwa na mgombea,"uhuni" alofanyiwa na Mbowe hatausahau
Mtoa fomu naye ana matatizo. Inakuwaje atoe fomu kwa mtu asiyemgombea? Ina maana wanaruhusu kuchukuliana? Sasa ona wanavyohangaika. Wamechukua fomu halafu hawana mgombea. Kama sivyo wampe kiongozi mkuu wa chama!
 
Simplemind tuseme ukweli kwenye hili.
Siku zote CHADEMA walisema kuwa ACT iko sponsored na Lowassa ili agombee urais kupitia chama hicho.
ACT ilisakamwa sana lakini leo wote tunajua kuwa Lowassa anagombea urais kupitia CHADEMA na sio ACT.

Ujasiri wa ZZK kukitangaza chama chake kipya na kupata wagombea wengi wa ubunge katika majimbo ya bara na visiwani ni wa kupigia mfano.

ACT ina wagombea katika majimbo mengi bara kuliko CUF na NCCR kwa pamoja (2010 na 2015) na majimbo mengi Zanzibar kuliko CHADEMA ilivyowahi kuthubutu.

Sikubaliani na ZZK katika mambo kadhaa ila kwa hili la kuthubutu katika uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu kwa kiwango hiki ninampa heko.

Mbinu za kisiasa mwaka huu ni "the end justifies the means" hata ikibidi kuungana na adui yako mkuu, hata ikibidi kuwatosa rafiki zako wa miaka mingi, hata ikibidi kuonja sumu. CHADEMA wameonyesha mfano na kutoa changamoto kubwa katika siasa na uchaguzi mkuu.

Act ikipata mbunge ktk uchaguzi wa mwaka huu ni pm nakupatia laki moja bila shida
 
Swala ni juhudi na uthubutu.
NCCR na CUF hawakuwa na uthubutu wa ZZK. Hata kule Zanzibar CHADEMA hawajawahi kuthubutu kama alivyofanya ZZK
 
Sasa kaka unamwamsha?Tuachane na Zitto tupange mikakati ya kushinda uchaguzi!

Mi nilidhani unapanga mkakati wa kulinda kura zako
Kumbe bado uko katika mkakati wa kushinda uchaguzi?
Mbona kura zimeshatosha mkuu.
Imebaki kuapishwa tu kwa Lowassa
 
Ngoja ajalibu huenda act wakawa kiburudisho kwawasikilizaji mikutanoni lakini kura ukawa na ndogo ccm
 
Kasahaulika vipi wakati wewe umemkumbuka mpaka umeamua kumuanzishia mada?

Kudhihirisha walivyochanganyikiwa juzi wameenda kuchukua ya kugombea urais wakati hawajui nani mgombea wao
 
Mi nilidhani unapanga mkakati wa kulinda kura zako
Kumbe bado uko katika mkakati wa kushinda uchaguzi?
Mbona kura zimeshatosha mkuu.
Imebaki kuapishwa tu kwa Lowassa

Kweli mkuu tunasubiria tujulishwe siku ya kumwapisha mhe lowasa kuingia ikulu
 
Swala ni juhudi na uthubutu.
NCCR na CUF hawakuwa na uthubutu wa ZZK. Hata kule Zanzibar CHADEMA hawajawahi kuthubutu kama alivyofanya ZZK

Kweli were ni jozi
 
Mtoa fomu naye ana matatizo. Inakuwaje atoe fomu kwa mtu asiyemgombea? Ina maana wanaruhusu kuchukuliana? Sasa ona wanavyohangaika. Wamechukua fomu halafu hawana mgombea. Kama sivyo wampe kiongozi mkuu wa chama!

Kiongozi mkuu wa chama umri haumruhusu ni tamaa tu imemtawala
 
Back
Top Bottom