Masikini Zitto Kabwe, umesahaulika kabisa

Masikini Zitto Kabwe, umesahaulika kabisa

kwa mwana siasa au mfuatliaji wa siasa za hapa tanzania jina la zzk lilikuwa ni maarufu sana kupitia vyombo vya habari ikiwepo mitandao ya kijamii kipindi zzk yupo ndani ya chadema kwa kufuatilia mawazo na ushauri wake.

Lakini kwa sasa baada ya kuwa nje ya chadema hatupati tena mawazo na ushauri wa aliyekuwa mwanasiasa mahiri mwenye hoja murua, nini kimekupata zzk?

kwa waelewa unamaanisha unamkumbuka sana na haswa namna tuendavyo wa wezi kupewa kulinda makanisa na misikiti
 
Sasa kaka unamwamsha?Tuachane na Zitto tupange mikakati ya kushinda uchaguzi!

ha ha ha unachekesha chama kinahaha mtafuta mgombea urais hata wa kukodi. mchukueni prof lipumba
 
Wewe kila siku haukosi kuliandama jina la Zitto, amekufanyia nini mbaya? Naona thread zako nyingi ni Zitto, Zitto! Kuna siku nilikuuliza gubu kwa Zitto inatokana na nini? Kama Chama alisha hama; kama Ubunge alisha waachia, sasa kila muda Zitto, Zitto! Huna mada mbadala? Wenzako wapo kwenye kampeni za El., wewe bado upo na Zitto!

Wewe ni msemaji wa ZZK!?
umereply kwa Ukali na katazo kubwa.
 
Utamuona tu muda si mrefu. Mpaka sasa hakuna mwanasiasa anayefikia level ya zitto.
Utamuona kwenye bunge lijalo na utashuhudia mambo mengi mazuri kutoka ACT.
Pamoja na kuwa wewe unachuki binafsi kwa zitto lakini tambua kuwa yeye hakuchukii bali anakupenda sana na anaamini ipo siku utakuwa Mzalendo.
Zito hampendi mtu yeyote zaidi ya kujipenda mwenyewe.
 
Labda anamtamani amshughulikie! Si aseme tu wamalizane badala ya kuishia kurembuarembua mtandaoni?
Wewe kila siku haukosi kuliandama jina la Zitto, amekufanyia nini mbaya? Naona thread zako nyingi ni Zitto, Zitto! Kuna siku nilikuuliza gubu kwa Zitto inatokana na nini? Kama Chama alisha hama; kama Ubunge alisha waachia, sasa kila muda Zitto, Zitto! Huna mada mbadala? Wenzako wapo kwenye kampeni za El., wewe bado upo na Zitto!
 
kwa waelewa unamaanisha unamkumbuka sana na haswa namna tuendavyo wa wezi kupewa kulinda makanisa na misikiti

Waelewa wenyewe kama ni wewe basi
 
Kumbe wewe ni member
Umerudi tena! Mbona post yangu haukuijibu? Kwanza nakushangaa sana kaka. Kama ungekuwa mmawia wa Muenda nisingekushangaa lakini kama wa huku TZ nakuonea huruma! Huwezi kumshupalia Zitto kila post yako wakati mwenzako anakula wese na dagaa huku Kigoma!
 
Umerudi tena! Mbona post yangu haukuijibu? Kwanza nakushangaa sana kaka. Kama ungekuwa mmawia wa Muenda nisingekushangaa lakini kama wa huku TZ nakuonea huruma! Huwezi kumshupalia Zitto kila post yako wakati mwenzako anakula wese na dagaa huku Kigoma!

Mimi nipo hapa kakonko centre nakula migebuka na kayoga pembeni kwa raha zangu
 
Mimi nipo hapa kakonko centre nakula migebuka na kayoga pembeni kwa raha zangu
Kama upo Kakonko kwanini mnawekeana nyodo watu wa mkoa mmoja! Sisi wote wa Kigoma tunatakiwa tuungane ili nasi tupate maendeleo na hasa barabara ya kutuunganisha na mikoa mingine kwa lami. Toka Nyakanazi, Kakonko hadi Kidahwe hatuna lami, sasa wewe badala ya kupigania vitu vya maendeleo unaanza kumsema mtu! Mikoa mingine wanatusema sana kwasababu tumekalia fitna.
 
Kama upo Kakonko kwanini mnawekeana nyodo watu wa mkoa mmoja! Sisi wote wa Kigoma tunatakiwa tuungane ili nasi tupate maendeleo na hasa barabara ya kutuunganisha na mikoa mingine kwa lami. Toka Nyakanazi, Kakonko hadi Kidahwe hatuna lami, sasa wewe badala ya kupigania vitu vya maendeleo unaanza kumsema mtu! Mikoa mingine wanatusema sana kwasababu tumekalia fitna.

Tumchague lowasa awe rais hayo yote tutayapata kwa haraka sana,karibu cdm
 
Umerudi tena! Mbona post yangu haukuijibu? Kwanza nakushangaa sana kaka. Kama ungekuwa mmawia wa Muenda nisingekushangaa lakini kama wa huku TZ nakuonea huruma! Huwezi kumshupalia Zitto kila post yako wakati mwenzako anakula wese na dagaa huku Kigoma!

Niambie ni post yako IPI siku ijibu tafadhali nikujibu mara moja
 
Back
Top Bottom