mimi niliambiwa ni hormonal imbalance,estrogen inakuwa nyingi zaidi so inasababisha endometrial cells zinagrow outside of the uterus,ila kiuhakika kabisa bado haijulikani the exact cause,wengine wanasema depression pia inasababishaHebu tuambie kwa kina huu ugonjwa unasababishwa hasa na nini?
Mambo haya ni ya kiimani zaidi.Ndio maana Neno linasema usifanye kupita imani yako.Ni ukweli usiopingika wapo waliofanikiwa
Ulichoandika hapo juu hebu kisome tena.
Hivi kwa nini watu awana Iman na Baba rizz moja hasa kwenye Mapicha ya Watoto wazuri wazuri ha!ha!Kila anapoonekana tu watu maswali ya kujiuliza
Mimi si mshauri huyu mzee msanii
Hamna anayefanikiwa, kuna mmoja alitoa ushuhuda kapona VVU hadharani mbele ya macho yangu. Wakati kila siku anapata dozi yake. Wale naive waliosikiliza ushuhuda huo wanaweza kuwa waliamini.
Mie nadhani ni desperation ya hali ya juu inachangia, Anyway, ni imani zaidi.
Nikisome tena wakati nimekitoa mawazoni mwangu? Anyway naheshimu imani za wengine ila ukweli ni vizuri kuambiwa. Ukiugua kunywa dawa, vya miujiza hivi, nyie haya tu.
Kwa hiyo research yako ni ya mtu mmoja tu tena wa Vvu!?!Hakuna wenye shida nyingine ka kupata watoto waliofanikiwa?! Halafu unataka tukuamini!? Kafanye tena utafiti
Ajaribu kuolewa maana kuna jamaa wanaweza kujaribu kumpa ujauzito ikishindikana basiii
Wakati mwingine unashauriwa kufikiri kidogo kabla ya kupost...umeambiwa kutoa mimba ni chanzo cha kupata huo ugonjwa?
sasa hiyo mimba alitoaje wakati hawezi kushika mimba?
kumbaf