Huo ni wendawazimu na ufinyu wa kufikiri, yaani mtu asiguswe kisa mfanyabiashara mkubwa au maarufu, hayo ndo yametufikisha hapa tulipo, kama wanaona huko kenya ndo wataachwa wafanye wanavyotaka kisa utajiri waambie waondoke hata sasa hivi. Umaskini wa akili ni umaskini mbaya zaidi