Tunaweza kujionea wenyewe jinsi tunavyoonewa,kama vile tu watuma ktk maamuzi yetu juu ya vitu vyenye maslahi na nchi yetu,huku kina kanumba wanatumiwa na wenye pesa,huku mdini hayatunufaishi,basi ni tabu kila sehemu
Mwl Nyerere alisema madini hayaozi huko chini,nasubiri hadi hapo vijana wangu watakapo kuwa na uwezo wa kuchimba wao wenyewe ndio waanze kuchimba,tuka mwona mjinga,haya sasa ni wa 3 africa kwa uwingi wa madini,lakini faida yake haionekani
Mwl Nyerere alisema madini hayaozi huko chini,nasubiri hadi hapo vijana wangu watakapo kuwa na uwezo wa kuchimba wao wenyewe ndio waanze kuchimba,tuka mwona mjinga,haya sasa ni wa 3 africa kwa uwingi wa madini,lakini faida yake haionekani