engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
Tunaweza kujionea wenyewe jinsi tunavyoonewa,kama vile tu watuma ktk maamuzi yetu juu ya vitu vyenye maslahi na nchi yetu,huku kina kanumba wanatumiwa na wenye pesa,huku mdini hayatunufaishi,basi ni tabu kila sehemu
kwa hisani ya WWW.WAVUTI.COM