Masikini Kikwete! Chama Chamfia Mikononi!

Masikini Kikwete! Chama Chamfia Mikononi!

Enzi ya mkoloni kuna makabila yalikuwa hayatoi ma province/district commissioners or uongozi wa aina fulani. Bali garden boys, cooks, butlers, udereva na the like. Prove me wrong.

Wachaga, wahaya, wasukuma hawafai kuwa viongozi wa nchi hii - Mwal. J. K. Nyerere
 
Umesahau kuwa ni hulka ya binadamu kuwa tenda mema siku zote lakini baya moja litafuta mema yote uliyowahi kuyatenda. Na ni vigumu kuishi ili uwapendeze binadamu wote wanaokuzunguka.
Hili ni kosa moja au kashfa moja? Una akili kweli wewe?

attachment.php
 
Bila kikwete nyie misukule ya chadema mngekuwa jela sasa hivi. Jk kaleta uhuru wa vyombo vya habari nyau nyie
 
Chadema ni fisi wanaotamani mfupa{rasilimali za nchi}
 
Porojo za alinacha, juzi mmechapwa 80% hasira zenu hizo.

Mngeyajuwa yote hayo kama si Kikwete?

Mtamkumbuka sana akimaliza muda wake.
 
😛eep:walikuja kuchukua masati na vilemba vya buuree:flame::A S wink:
 
Enzi ya mkoloni kuna makabila yalikuwa hayatoi ma province/district commissioners or uongozi wa aina fulani. Bali garden boys, cooks, butlers, udereva na the like. Prove me wrong.

True; I cant agree with you more; kwa sababu makabila hayo yalikuwa hayana watu wenye elimu ya kutosha.
 
Back
Top Bottom