2. ataacha panyaroad
Enzi ya mkoloni kuna makabila yalikuwa hayatoi ma province/district commissioners or uongozi wa aina fulani. Bali garden boys, cooks, butlers, udereva na the like. Prove me wrong.
Ndio maana alitakiwa aunde serikali ya watu
Makini, waaminifu , wachapa kazi, wasiopenda rushwa,
Wazalendo, wenye uchungu wa maendeleo,wanao mthamini
yeye JK kama mkuu wao.
watu ambao wako hapo kumsaidia yeye asielimewe na haya yote.
sasa yeye amechagua mabua ndio maana yuko kwenye hali hii.
Depression na Stress nyingine kajitafutia mwenyewe.
Masikini Kikwete...!View attachment 216324
...Chama Chamfia Mikononi...need I say more?
1Bado gesi Mtwara, Simba trust na... duh! kaazi kweli kweli!
Wajinga wengi sana nchi hii umeacha kulala umeandika ujinga wako utadhani umefanya kazi ya maana mno.
siangalii picha ya watu 10 nakusema JK ni mpenda watu na maendeleo.
sioni maendeleo yeyote kwenye hiyo picha.
Hii post imebeba ujumbe mkubwa sana i wish JK aione na kuisoma.Enzi ya mkoloni kuna makabila yalikuwa hayatoi ma province/district commissioners or uongozi wa aina fulani. Bali garden boys, cooks, butlers, udereva na the like. Prove me wrong.
ataita wavuta unga aongee nao..
what if kama hana akili au uwezo wa kuchagua watu bora?? yaani sio kuwa hapendi ila automatically hawezi
Enzi ya mkoloni kuna makabila yalikuwa hayatoi ma province/district commissioners or uongozi wa aina fulani. Bali garden boys, cooks, butlers, udereva na the like. Prove me wrong.
Salute mkuu,short and clear answer!Hawa Lumumba FC huwa wanachekesha sana,na ukijuwa huwa hawana la maana la kuchangia ni kuona wanavyojikakamua kujaza thread kwa majibu mepesi mepesi.Should we believe wanalipwa kwa number za post na sio katika umakini wa hicho wanachokipost? Ofcourse with exceptional ya masopakyindi lusungo na VUTA-NKUVUTE
Kikwete ni dhaifu mno na tulifanya kosa kumpa nchi huyo msanii na genge lake la wezi na mafisadi.
Enzi ya mkoloni kuna makabila yalikuwa hayatoi ma province/district commissioners or uongozi wa aina fulani. Bali garden boys, cooks, butlers, udereva na the like. Prove me wrong.