Nyamizi
Platinum Member
- Feb 19, 2009
- 9,185
- 13,760
Am I exceptional? Lakini bado naona hata haya kuwa CCM. Asante lakini Mkuu
Mzee Tupatupa
Mkuu nyie watu watatu ndio the best from CCM ktk ku argue kwa mtazamo wangu,waliobaki ni bora liende,huwa wanashindana kwa wingi wa post hapa JF,si ajabu ukakuta mtu anapost mfululizo kwenye thread moja,ukisoma sasa alichopost,even a kindergaten toddler can be the best!