Masikini Kikwete! Chama Chamfia Mikononi!

Masikini Kikwete! Chama Chamfia Mikononi!

As shocking as it may be, you may wonder when seeing CCM members dividing into groups, of which some (I predict many of ) will find a way to let it go....as I usually say...only in Tanzania!

But in my opinion, however, the diversion and theft of public funds has been so common that it is almost seem like legal and lawful. Na hii ni kwa sababu ya upuuzi wa serikali na udhaifu Unaochangiwa na wabunge, hasa wa CCM, kutokana na tabia ya kishetani ya kubebana wakati mawaziri au watendaji wa serikali wanapokosea na kutakiwa kutolewa maamuzi na Bunge. Na katika mkumbo huo Spika na Naibu wake wanaongoza treni hiyo ya ibilisi kwa kushindwa kulisimamia bunge, kuliongoza kujadili hoja zenye maslahi ya Taifa na kukwamisha kwa makusudi mijadala ya msingi.

Niseme tu kuwa Sijawahi kuona Serikali ya ovyo kama hii, inayoshindwa kujisimamia na kusimamia watendaji na watumishi wake. Na sijawahi kutegemea kuona viongozi dhaifu kama hawa, wanaoshindwa kutekeleza majukumu yao, wazembe na wezi. Na sikutegemea kuona bunge dhaifu na lisilo na msimamo kama la JMT, ambapo Mbunge anaweza kusimama, bila haya na kumtetea mhalifu wa wazi eti kwa sababu tu ni mwana CCM! Na mwisho sijawahi kuona nchi yenye wananchi wa aina yake kama Tanzania. Watu waungwana, wapole na wavumilivu hata unapowalaza njaa, kuwapiga bila sababu na hata kuwaua kwa visingizio vya kijinga tu!

Kuna kipindi niliwahi kusema, na leo ntarudia tena. Kama nchi hii itakuja kuingia machafukoni, siyo sababu nyingine yoyote. Ni Kwa sababu ya Upuuzi wa CCM na serikali zake, kwa miaka yote waliyokuwa madarakani. Na tena ni kwa tamaa na uroho wa kung'ang'ania madaraka hata pale ambapo wanaona nchi imewashinda na wananchi hawawataki. And this is a shame!...

[kwa niliowakera mnisamehe bure, hasa kama nilichosema ni uongo. la sivyo, you can just....]
 
Enzi ya mkoloni kuna makabila yalikuwa hayatoi ma province/district commissioners or uongozi wa aina fulani. Bali garden boys, cooks, butlers, udereva na the like. Prove me wrong.

Kwahiyo wewe unadhani bado tupo kwenye ukoloni?wake up , embu toka kwenye hiyo ndoto.
 
Hatuongozwi na kelele tunaongozwa na data! Kwa data za uchaguzi wa serikali za mitaa inaonekana dhahiri kuwa CCM itaendelea kuwepo madarakani kwa miaka mingi ijayo! So Chilax.

Hapa we ni mbovu wa kutafsiri data. 33% ya maeneo hatukujua walikuwa wanamtaka NANI. Walipachukua CCM kwa hila mbalimbali huku wananchi tukibaki bila ya kuchagua. Maeneo ambapo uchaguzi ulifanyika UKAWA walipata 63% na CCM 37%. Pia hakuna eneo ambalo UKAWA walitoka patupu Bali kwa CCM Musoma mjini na Mbeya mjini mitaa yote ilichukuliwa na UKAWA. Maelezo hayo yakusaidie kutengeneza hoja yako.
 
Masikini Kikwete...!
View attachment 216324
...Chama Chamfia Mikononi...need I say more?
Bado gesi Mtwara, Simba trust na...duh! kaazi kweli kweli!

magamba bendera-mlango.jpg
 
How i wish hili jeneza la CCM tungelifunika kwa zege futi mia chini kuzimu!!!!
 
Kikwete should be impeached for being part of a cartel that is fleecing this country!!
 
Enzi ya mkoloni kuna makabila yalikuwa hayatoi ma province/district commissioners or uongozi wa aina fulani. Bali garden boys, cooks, butlers, udereva na the like. Prove me wrong.

hii inatakiwa kuwa na thread yake bwana mode
 
CCM daima. Mtavua hadi pichu, hatoki mtu CCM na wala hatuachii nchi
 
pole JK, usirudie kutamani urais wewe na kizazi chako, si umeona kaka, ushauri tu
 
Si vyema kukejeli kila amachofanya Rais. Yapo Mazuri ameyafanya mengi tu

binadamu ndo walivyo hata siku moja hawajawai kuona mazuri uloyafanya. Kwan rais yeye sio mtu? Je ana haki ya ku socialise na watu?
 
Ccm tutaona tena baada ya miaka 53 ijayo
 
Nonsense. Watanzania wengi mnaelekea ni wajinga na wapumbavu. Uwezo wa kufikiri na kuanzisha topic zenye faida hamna. Mnabaki kurudiarudia tu mambo ya kipuuzi. Uchaguzi serikali za mitaa mmeungana tena vyama vitatu kwa kimoja mmeangukia pua bado mnarudisha topic uozo kama akili zenu. Mkwende zenu na ukichaa wenu
 
Hii nimeipenda kweli kweli, ukweli mtupu bado list of shame and offshore money, failure ya 65% secondary school, the list is endless. INAFAA KWELI KWELI KAMA SLOGAN YA UCHAGUZI UJAO
 
Back
Top Bottom