Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 25,975
- 25,288
Umetoroka kwenye mkesha wenu? Wenzako wanakutafuta hawa hapa rudi mkaendelee kubinuka.
View attachment 216331View attachment 216331[/QU
OTE]
....huku mlikesha wapi?
![]()
Umetoroka kwenye mkesha wenu? Wenzako wanakutafuta hawa hapa rudi mkaendelee kubinuka.
View attachment 216331View attachment 216331[/QU
OTE]
....huku mlikesha wapi?
![]()
Nimekuambia wenzakomhawa wanakusubiri umeshaenda? Hawa hapa.....wakuuvalisheh na shaanga umedudushaah
siangalii picha ya watu 10 nakusema JK ni mpenda watu na maendeleo.
sioni maendeleo yeyote kwenye hiyo picha.
Nimekuambia wenzakomhawa wanakusubiri umeshaenda? Hawa hapa.
Nakuuliza umeshamaliza kula naona bado unakula hii kitu maliza kwanza.Umetoroka kwenye mkesha wenu? Wenzako wanakutafuta hawa hapa rudi mkaendelee kubinuka.
View attachment 216331View attachment 216331[/QU
OTE]
....huku mlikesha wapi?
![]()
Huyu ndiyo kiongozi wa kweli anashiriki na watu safi sana kinana.View attachment 216334Katibu mkuu wake asione pembe .....yuko Bize kujenga chama
Ulishamwacha dada yako? Make hata hii kitu ulichukua kwa dada yako baada kazi hiyo....nikugegede?
Kwa kipi we kitasa....Msamehe
Haya siyo maendeleo ni nini?siangalii picha ya watu 10 nakusema JK ni mpenda watu na maendeleo.
sioni maendeleo yeyote kwenye hiyo picha.
Unapozungumzia viongozi mashuhuri wenye mipango thabiti ya kimaendeleo jk yupo ndani ya,sasa ameanza kujenga daraja la kwenda zanzibar hilo dogo?
Huyu ndiyo kiongozi wa kweli anashiriki na watu safi sana kinana.
Haya siyo maendeleo ni nini?
Enzi ya mkoloni kuna makabila yalikuwa hayatoi ma province/district commissioners or uongozi wa aina fulani. Bali garden boys, cooks, butlers, udereva na the like. Prove me wrong.
Wewe jamaa ni mjinga sana hata kule kwenye bunge la katiba ulipelekwa kwaajili ya kuburudisha wakina kombaKwa kipi we kitasa.
Mtu kama wewe ni wa kupuuzwa jk ni mpenda watu na maendeleo basi ona hawa watu wanavyomtumaini yeye.
Jk atabaki kuwa kiongozi shupavu na mpenda maendeleo ukisema kuhusu jk watu kama hawa utawaambia nini.
View attachment 216327