ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 8,076
- 17,463
Pamoja nakumia kichwa lakn lazma upime uzito wa jambo..
Kama bint huyo anajali uhai wa mwenzake kwann anamlazmisha amwingie kavukavu? Huon kuwa kuna kitu hapo?
Kitendo cha kuzamisha mashine yako kwa mtu mwathrika wakat unajua kabisa ni sawa na kujielekezea bunduk kifuan wakat risas iko chemba
mwanmke now unaujauzito wa miezi miwili
yah hilo ni kwel kabisa kuish na huyu dada kaka yako itabd awe mvumilivu sana kwanza kwa hulka za wadada pia kujiona yeye ni mgonjwa so lolote baya likitokea hata kwa bahati mbaya itachukulika tofaut, mi naamin huyu dada amekua kama hajaamin kilimchomkuta au anajiaminisha mumewe ni chanzo cha yote hayo so la msing wote wawe sawa ili awe na amana akisahau kua huyo mume wake atakuja kua msaada mkubwa pale hali itakapobadilka. dah kaka ana kaz kubwa sana coz ni lazma kuwe na win - lose situationkingine unajua mambo ya wanawake kuendeshwa na hisia .. ataanza kuhisi jamaa anachepuka akichelewa ugomvi, akikosolewa ugomvi kuishi naye yataka moyo hasa kama mume na mke... mi sielewi kwa nini atake ngono kwa nguvu
duh mtoto sasa inakuwaje?Hakuna malaika dunia hii wote sisi ni wenye dhambi kwaio usimuamimi mtu kisa anaenda kanisani au mlikutana kanisani. Dah bonge la mistake alifanya lakini Mungu kamuepusha sasa chakufanya asepe tu hapo. Ata alale sebuleni atalala maisha yote? Hatari kukaa karibu na moto ataungua mwambie ajimuvuzishe tu tena faster.
my dear kuna wanaume wanendeshwa na mwanamke ni tatizo kubwa sana.. rafiki yangu huyu bwana ni mpole kazidisha
Na kila jaribu lina mlango wa kutokeahilo ni jaribu lake yampasa alishinde
yah kweli kinachosubiriwa hapo ni kiumbe kilichopo tumboni japo anasafari ndefu miezi sabayah hilo ni kwel kabisa kuish na huyu dada kaka yako itabd awe mvumilivu sana kwanza kwa hulka za wadada pia kujiona yeye ni mgonjwa so lolote baya likitokea hata kwa bahati mbaya itachukulika tofaut, mi naamin huyu dada amekua kama hajaamin kilimchomkuta au anajiaminisha mumewe ni chanzo cha yote hayo so la msing wote wawe sawa ili awe na amana akisahau kua huyo mume wake atakuja kua msaada mkubwa pale hali itakapobadilka. dah kaka ana kaz kubwa sana coz ni lazma kuwe na win - lose situation
ila swala la kuvunja ndoa sa hvi sidhan kama litakua jambo la busara tusubir mpaka mtoto akizaliwa ila sasa je hataweza kumdhuru na mtoto pia yaan nakua na maswali meng kuliko majibu daah
duh mtoto sasa inakuwaje?
yah ni ndefu na kwa akil za huyo dada kwa sasa anaweza kufanya chochote kibaya kwenye huo ujauzito ikawa ni go away ticket japokua sitegemei hayo yoteyah kweli kinachosubiriwa hapo ni kiumbe kilichopo tumboni japo anasafari ndefu miezi saba
hapa nimekuelewaHaimaanishi kuwa atakua amemkataa au kumkimbia mtoto atapo sepa. Lkn atakua amejiepushia balaa hilo la mke wake kutaka kulala nae kilazima. Inaelekea analengo lake tu jamaa apate ili waishi wote kama waathirika mana anahisi jamaa atasepa tu no way out.
Habari zenu wana Jf,
Ni moja ya rafiki zangu ni kijana mkimya, mpole, mcha Mungu, ana heshima na mpiganaji katika kutafuta maendeleo, katika pilika pilika zake Mungu akampa binti mzuri, mpole, msikivu na mwenye adabu hapa ndipo mwanzo wa misha yao mpaka ndoa. Kwa sasa wana mwaka mmoja ndani ya ndoa yao na Mungu kawamjalia mwanamke kwa sasa anaujauzito wa miezi miwili katika ile hali ya kuugua ugua akaenda hospital.
Kinachosikitisha na kuhuzunisha ni kijana mwezi huu kagundua mkewe ni muathirika (VVU). Huyu rafiki yangu huwa na mwita kaka ili kukata mzizi wa fitina si unajua mabinti tulivyo. Baada ya kugundua hivyo nikaanza kumuuliza je hawakupima wakati wa maandalizi ya ndoa.? Majibu aliyotoa kiukweli ni huzuni eti hawakuona haja ya kupima kisa wote aliona wametulia na hakukuwa na hisia yeyeote ya uchepukaji na pia walikutana Kanisani.
Nilivyo fyoko fyoko nikauliza vipi mlianza kuzini kabla ya ndoa na mlikuwa mnatumia Condom? akaijbu ndiyo ili kuzuia mimba kwa hiyo walivyofunga ndoa tu wakaanza kunjunjana bila Condom bila hata kujua afya ya kila mmoja.
Mungu si nanjilinji bwana wee kijana hajaathirika kapima zaidi ya mara 7 kila akipima anaona negative kawa kama chizi akipita mjini akiona hospital anashuka anapima aamini majibu anayopata.Lakini kutokana na vipimo inaonekana ajaathirika, kaenda hospital na mkewe doctor wamempa namna ya kuishi na mtu wa VVU lakini ameshindwa kinachotokea kijana analala sebuleni mwanamke chumbani.
Kinachotokea mke kawa na gubu anamlazimisha mwanaume mapenzi (ngono) mwanume hawezi, jamani mimi nimeshindwa mshauri zaidi nilimwambia alale sebuleni au Mzungu wa nne mwanamke amegeuka moto anataka ngono bila hata condom. Jamani naombeni anayeweza toa njia nyingine ya kumsaidia kijana ili waishi at least kwa amani mwenye suluhu
Karibuni, ushauri
hataki kula wala dawa hata sijui hico kiumbe kitatoka hai au vipi?yah ni ndefu na kwa akil za huyo dada kwa sasa anaweza kufanya chochote kibaya kwenye huo ujauzito ikawa ni go away ticket japokua sitegemei hayo yote
duh hatari sanaHuyo kijana ana moyo wa kipekee, kulala sebuleni kwenyewe ni upendo tosha, ni changamoto ya aina yake kuishi na mtu mwenye VVU, atafanyaje wakati wanatarajia mtoto soon? Cha muhimu atulie na kumfariji mke wake kwenye kipindi hiki kigumu ili aokoe kiumbe aliyeko tumboni, vinginevyo atakosa mtoto na hawezi kujua kama atapata mwingine au lah, ila suala la kusex bila condom BIG NO, ila haishi nae tu kama kawaida, cha muhimu ni kupata ushauri wa daktari na kumuomba sana Mungu amuokoe, Ndoa nyingi sana sasa ivi zinaishi na huo ugonjwa, ukimwi ni janga la taifa
miss chagga pole sana na jela
Ashikilie msimamo wake bila condom hapana maana hapo mwanamke kashajijua anao anataka amwambukize na mwenzake waupate wote na hiyo ni mbaya sana.
Gubu haliwezi kuisha na wala halitamuua kijana ila akijifanya anafanya bila condom ajue tayari anaupata maana mwanamke inaonekana kadhamiria jamaa aupate na yeye
Asikilize ushauri wa wataalam na akiona yanazidi hapo ni kuwaita wazazi na kuwapa ukweli wa kinachoendelea. Mtoto anaweza kuzaliwa bila kuupata na hapo ajue hata maziwa ya mama hayanyonya
Kama ni mapenzi ampende na kumtimizia kama mke ila kushiriki tendo la ndoa bila mipira asijaribu hata siku moja maana hapo dhamiri ishamtoka huyo mama
mpeleken kwenye ushaur nasaha kama mnamuhtaji huyo mtoto azaliwe otherwise ndoa naona inavunjika kwa kuharibika kwa ujauzitohataki kula wala dawa hata sijui hico kiumbe kitatoka hai au vipi?
Wameshapata watoto???kama bado amkimbie tu asijemuambukiza
hilo ni jaribu lake yampasa alishinde
Tyta kijana ana moyo wa uvumilivu hata kuendelea kuishi naye ila binti kawa mkorofi analazimisha penzi na kilio juu.. mimi naona huruma sana kwa kijana analalamika maisha yake kaingiza doa japo kijana naye kafanya uzembe kuoana bila kupima
warumi sawa mkuuChangamoto ndizo zinatufanya tuishi, hatupaswi kulaumu bali tumapaswa kuangalia jinsi ya kukabiliana na changamoto, tatizo limempata mkewe basi atulie wajue wanafanyaje anaweza kwenda, akaupatia uko, challenge sio kitu duniani cha muhimu UHAI, kuna watu wameoana ila mwanaume hasimamishi kabisaa, so tuzikubali changamoto uku tukimwomba mungu sana, hakuna kinachoshindikana kwake