Masikini kaka huyu

Ila nilisikia sasa hivi vipimo si vya kuamini (na ilikuwa official statement kama niko sahihi)...anaweza jua yuko -ve kumbe vipimo ni vibovu...
 
Hapo penye rangi pananitia kichefuchefu. Naona makanisani hakuna masomo au miongozo ya wanandoa kabla ya harusi.Zaidi ya hapo inaonekana makanisani ni uwanja wa kufanya Uzinzi na uasherati chini ya upako wa shetani.Je serikali ya Yesu Kristo makanisani imepinduliwa??? Mungu tusaidie!!
 

Mungu atusamehe tu makanisa haya ya majina ya watu wamebadili utaratibu kabisa
 
hatari sasa na unachopanda kwa mwili ndio utavuna ,,,,,,,
 
MWanaNke uyo hana busara kabisa.Yaani yeye kaungua anataka waungue wote!Ningekuwa mi nnao ningeongeza heshima na mapenzi kwa mwenzangu na kushauriana naye kama yuko tayari tuduu kwa zana lakini si nimezama ,nizamishe jahazi tuangamie wote au hii ndo akili zenu miss chagga,masai dada et al?
 
Nawewe mgeni! ckuhizi hakuna cha ndoa ya kikiristo,inavunjwa vzr tu mahakamani kila mmoja anachukua 50 zake,
It seems binti aliupata mwenyewe huyu.

Ila hili kweli jaribu!!
mkuu christine ibrahim alichounganisha Mungu,mwanadamu hawezi kutenganisha! Km mahakani wanatengua ni kwa sheria za mahakama,lkn hawataweza tena kufunga ndoa na wenzi wao wapya kanuni za kikristu.
 
Last edited by a moderator:
Mimi si mtaalamu sana wa afya ila kuna scenario kama hizo nyingi tu. Hawa kitaalamu ni discordant couples ambapo mwanamume sio recipient wa VVU kulingana na blood group au aina ya kinga yake na aina ya HIV aliyonayo mkewe. ... hivyo ushauri wangu wapate ushauri wa kitabibu then goma liendelee,
atakuwa mpumbavu kumuacha mkewe... huenda ndo kipimo pekee cha ubinadamu na uwezo wake katika kuwafia wengine. Mungu hakupi mtihani asioweza kukupa mbinu za kuushinda. ...
 
We unataka kujua nini .? We toa ushauri kwa eafiki yangu

Ok nakushauri uwe rafiki yake katika kipindi hiki cha mpito, wakati huu anakuhitaji kuliko vipindi vingine, tazama sasa upo katika mtihani wa kupima urafiki wenu na unapaswa kuushinda....sema aaaamen!
 
Huyo mwanamke anataka wafe wote au ni nn sasa hicho atleast watumie kinga ili angalau mmoja apone!!ingawa ngumu kumeza

Yaani huyo Mwanamke anataka kuharibu sasa, inabidi amlinde mwenzie asipate maambukizi, waishi kama walivyoshauriwa na daktari
 
Ok nakushauri uwe rafiki yake katika kipindi hiki cha mpito, wakati huu anakuhitaji kuliko vipindi vingine, tazama sasa upo katika mtihani wa kupima urafiki wenu na unapaswa kuushinda....sema aaaamen!

ameeen
 

Huyo Dada anaonekana sio mtu mzuri sasa, huyo kaka achunge hata mswaki wake, asije kuwa anashare naye kwa makusudi, sijui aliyemfanyia counselling aliwacounsel aje, wakafanyiwe counselling tena sehemu nyingine, na huyo Kaka sawa awe makini but aendelee kumwonyesha upendo, kuongea vizuri, kumtia moyo na kumjali Mkewe, la sivyo huyo Dada atakuwa hatari kwa familia yake na wageni pia humo ndani
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…