Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
Edward Ngoyai Lowassa,amepata aibu ya kufungia Mwaka pamoja nguvu yote ilotumika kumuandalia mkutano jamaa kapata watu kiduchu kuliko hata mkutano wa AFP!!! Jamaa anatia huruma sana san!!!a n
Mbona kwenye fesibuku kuna mdau anasema ametinga kikatiti na lundo la magari yaliyojaa raia kutoka monduli, sasa unaposema amekosa watu katika mkutano wake nashindwa kukusoma.
Ama waliingia mitini baada ya kushuka kikatiti? unaweza kutupia picha ya mkutano?