Masikini Edward Lowassa

Masikini Edward Lowassa

Wakapata na vikombe, mavazi na baiskeli,
Wakawanunua ng'ombe, majike kwa mafahali
Hawakuitaka pombe, sababu pombe si mali,
Kama mnataka mali, mtayapata Arumeru!


mimi mmasai bana, hakuna wa kuniweza,
watapiga huu sana, katika kujiliwaza,
watabanabana sana, hawataachia kwa fweza?
****** amenisweti, seuze yule napie?

nimetwanga kotekote, masijidi kanisani,
sasa walete walete, meru stepu namba wani,
meru mtaji wa kete, ya 2015 naawambieni!
****** hanacho chake, nimemshika pabaya!

mimi mmasai bana, mwanaume aje hapa,
ninayo himaya pana, ndani ya chama mi papa,
ka wabisha onekana, nikuone hapa hapa!
kweli utajitokeza, kwani wewe hujipendi?


mtunzi wa shairi: mr white head

lol!!!
 
mimi mmasai bana, hakuna wa kuniweza,
watapiga huu sana, katika kujiliwaza,
watabanabana sana, hawataachia kwa fweza?
****** amenisweti, seuze yule napie?

nimetwanga kotekote, masijidi kanisani,
sasa walete walete, meru stepu namba wani,
meru mtaji wa kete, ya 2015 naawambieni!
****** hanacho chake, nimemshika pabaya!

mimi mmasai bana, mwanaume aje hapa,
ninayo himaya pana, ndani ya chama mi papa,
ka wabisha onekana, nikuone hapa hapa!
kweli utajitokeza, kwani wewe hujipendi?


mtunzi wa shairi: mr white head

lol!!!

View attachment 50590


Hadithi inayokuja, ni ya ARUMERU sikia
hadithi uliyongoja leo ninakuletea
Alitoka siku moja KAMPENI aliposikia
KAMPENI aliposikia ARUMERU nakuambia

Siku hiyo akaenda MIKUTANONI kutembelea
AKAWAONA WATU MITAANI WAME ENEA
ARUMERU akaPapenda MKUTANONI akasogea
MKUTANONI akasogea ARUMERU nakuambia

SIZITAKI MBICHI HIZI, MKUTANONI akagumia
naona nafanya kazi bila faida kujua
yakamtoka machozi KURA akIlilia
KURA akaZilia ARUMERU nakuambia
 
Back
Top Bottom