Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 1,695
- 5,469
Ndugu zangu Kumekuwa na kundi kubwa sana la vijana kuzaa zaa tu hovyo bila mpangilio wowote.
Nini mantiki ya kuzaa na kuwaleta watoto dunian wateseke? Unakuta mtu anazaa tu kwa kuwa ameona rafiki yake amezaa. Na yeye anaamua kuzaa tu hasa wanawake.
Wapo wanaozaa tu wakishituka kuwa hawakuwa tayari kulea basi mzigo wote huwapelekea wazazi wao huko vijijini na kuwatelekezea huku, kisha wao kubaki mjini wakijivinjari.
Guys kulea siyo lele mama unatakiwa ujipange haswa ili kutengeneza mazingira bora kwa wanao. Kula, kuvaa, afya bora, elimu na mengine mengi. Sasa kuna baadhi wanazaa tu hovyo bila mpangilio wowote kisha kuwapa mateso mazito watoto wao.
Nini mantiki ya kuzaa na kuwaleta watoto dunian wateseke? Unakuta mtu anazaa tu kwa kuwa ameona rafiki yake amezaa. Na yeye anaamua kuzaa tu hasa wanawake.
Wapo wanaozaa tu wakishituka kuwa hawakuwa tayari kulea basi mzigo wote huwapelekea wazazi wao huko vijijini na kuwatelekezea huku, kisha wao kubaki mjini wakijivinjari.
Guys kulea siyo lele mama unatakiwa ujipange haswa ili kutengeneza mazingira bora kwa wanao. Kula, kuvaa, afya bora, elimu na mengine mengi. Sasa kuna baadhi wanazaa tu hovyo bila mpangilio wowote kisha kuwapa mateso mazito watoto wao.