Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,652
- 13,077
Mvua ilikuwa kali kwelikweli wiki nzima bila kusimama,siku hiyo ilianza kunyesha toka saa 2 asubuhi mpaka saa 4 usiku bado haijasimama,ikabidi jamaa ampigie simu demu wake.
JAMAA:habari ya uthiku mpenzi?
DEMU:safi tu mume wangu,niambie
JAMAA:mvua leo inanyesha kwelikweli basi mvua ikiwa inanyesha hivi huwa nakukumbuka sana demu wangu
DEMU:najua c baridi inakusumbua kwahiyo unataka nije nikupe joto
JAMAA:hapana,nafikiria nikutume shamba ukamsaidie mama kulima viazi vitamu
JAMAA:habari ya uthiku mpenzi?
DEMU:safi tu mume wangu,niambie
JAMAA:mvua leo inanyesha kwelikweli basi mvua ikiwa inanyesha hivi huwa nakukumbuka sana demu wangu
DEMU:najua c baridi inakusumbua kwahiyo unataka nije nikupe joto
JAMAA:hapana,nafikiria nikutume shamba ukamsaidie mama kulima viazi vitamu