Mashushushu wa JF

Nawasubiri
 
Jasusi Mwitu anakuja na story za kubanza.
 
Mtani kukichwa kutapambazuka... Mawio hayako mbali
 
Mtani kukichwa kutapambazuka... Mawio hayako mbali
Magufuli alikuwepo leo hayupo , kuna kijana jana wamemtaja huko alikua kwenye kikosi cha utekaji enzi sasa baada ya jiwe kufa kikavunjiliwa mbali kijana amebaki kuwa mlevi wa kupitiliza na kujitenga na jamii baada ya jamii kumkataa , hawa watekaji mnaishi nao mitaani na wanajulikana hawatoki sayari ya Zuhura kuja kuteka watu kisha wakarudi

Watu wajifunze tawala zinabadilika ila matukio na jinao hazifutiki , amri haramu ni haramu tu haijalishi kaitoa nani.
 
Leo kichwa cha marehemu Temba kimepatikana.. Hilo jambo limeniumiza mno. Kwahiyo watapewa familia waweke msiba upya? Wakazike upya? Kwenye kaburi jipya?🙌🏿😭
Au watafukua kaburi wafungue sanduku waunganishe?😭😭😭🙌🏿
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…