Mashuhuda waliohamia Msomera kutoka Ngorongoro wafunguka

PendoLyimo

JF-Expert Member
Sep 30, 2014
879
956
Tangu zoezi la kuhamisha watu walioamua kuhama kwa hiyari kutoka Hifadhi ya Ngorongoro kuhamia msomera kuanza na kuendelea kwa Wengi wa wananchi hao wameamua kutoa ushuhuda wa namna ambavyo maisha yao mapya ya Msomera yalivyo bora na salama kulinganisha na walipoluwa wanaishi hifadhini walipokuwa wakibanwa na sheria za uhifadhi.

kwa Ujumla kuna tofauti kubwa kati ya hapa Msomera na Ngorongoro, kwenye swala la malisho ,swala la malisho Ngorongoro ng'ombe wanafuata malisho zaidi ya kilometa kumi(10KM) kwa siku, kwahiyo unakuta ng'ombe kama muda huu wamekuja kupumzika kwa sababu wameshiba majani yapo karibu hapa , Tulipofika hapa Baada ya siku mbili ng'ombe kupumzika,tukaenda kuogesha kwa sababu hiyo inasaidia ng'ombe kupata ulinzi ,ukimwogesha umemuepisha na magonjwa mengi , Serikali tayari imesha tupa madawa tumewaogesha kwahiyo ng'ombe wako salama " Anasema Luka tyamasi mwananchi aliyehama kwa hiyari kutoka NGORONGORO kuhamia Msomera

Zaidi angalia video hii

 
Hakika tunaishuhudia dhamira njema Sana ya serikali ya Rais wetu Mama #Samia Suluhu Hassan, Sio tu malisho lakini jamani Ngorongoro hakukua hata na sehemu ya kuhifadhiana wapendwa Wao mauti yakiwakua, lakini hata maduka hayakuwepo, sehemu nyingiii tofauti na Kijiji Cha Endureni walifuata bidhaa Karatu tena kwa mguu ni Km na Km, Ndo maana napendekezà Kijiji Cha Msomera kiitwe Samia Village.
 
Hakika tunaishuhudia dhamira njema Sana ya serikali ya Rais wetu Mama #Samia Suluhu Hassan, Sio tu malisho lakini jamani Ngorongoro hakukua hata na sehemu ya kuhifadhiana wapendwa Wao mauti yakiwakua, lakini hata maduka hayakuwepo, sehemu nyingiii tofauti na Kijiji Cha Endureni walifuata bidhaa Karatu tena kwa mguu ni Km na Km, Ndo maana napendekezà Kijiji Cha Msomera kiitwe Samia Village.
HAKIKA HAKIKA
 
Back
Top Bottom