Hey Munkariiiii,wapi zamaniiiii?CHENGA!!! + dvn 5
Demba hujanijibu bado,je utanipa uongozi kutalii Njombe?umetumia haki yako kikatiba.
Zari White Party,si uje PM? kuna siri nataka kukupa kuhusu Buzi lako.mimi hapa na mudiplomat wangu mie nina miaka 29 mdiplomat anamiaka 65 yaani kansomesha,kanipa kazi gari,nyumba safari kibao nimeijua dunia kupitia yeye rum anaenda uvinza narusharusha miguu nkishtuka nakuta kichwa kina mvi katikati naendelea na safari.Kimoja kinatosha nainjoi.Ila pia ni serengeti wangu ana miaka 21 ananikuna,hekaheka nafungulia bomba maromance ya kufa taratibu nikishtuka hata sijui kaingia saa ngapi.
Raha sana serengeti maisha yake yapo hatarini ameenda pemba kujificha mudiplomat kagundua.Ila nitaenda pemba.
Wababa wanajua mapenzi sana serengeti boy kwa ajili ya kunipa company tu
Basi mamii endelea hivo huvo tu au vipi?.mimi hapa na mudiplomat wangu mie nina miaka 29 mdiplomat anamiaka 65 yaani kansomesha,kanipa kazi gari,nyumba safari kibao nimeijua dunia kupitia yeye rum anaenda uvinza narusharusha miguu nkishtuka nakuta kichwa kina mvi katikati naendelea na safari.Kimoja kinatosha nainjoi.Ila pia ni serengeti wangu ana miaka 21 ananikuna,hekaheka nafungulia bomba maromance ya kufa taratibu nikishtuka hata sijui kaingia saa ngapi.
Raha sana serengeti maisha yake yapo hatarini ameenda pemba kujificha mudiplomat kagundua.Ila nitaenda pemba.
Wababa wanajua mapenzi sana serengeti boy kwa ajili ya kunipa company tu
Hapana Mkuu,huyo anatumia fursa vizuri sana.Umevurugwa wewe, kisa cha kutembea na babu yako???
Usijali mrembo,nenda PM,nimekuandikia summary ya uzi woote ili usome kwa raha zako mamii.Yaani mim marefu marefu naona uvivu kuyasomaaa
Rubii Mungu anasamehe,sasa wewe hutaki kunisamehe?Acha fiksi! wewe bado bikr wewee
Itakuwa alipiga Div 6 ya point 7 mkuu.CHENGA!!! + dvn 5