Mashuga mami na mashuga dadi

Suala hili ni Mtambuka linahitaji mjadala wa kina tukihusisha Wasanii Maarufu nchini na watangazaji wa redio nyingi za FM.
BCc. Tanzanite Wasafi.........
 
vijana pumzi tunazo sema tatizo mitikisiko ya kwenye bodaboda hususani SANLG ndo unatumaliza kabisa.
 
mimi hapa na mudiplomat wangu mie nina miaka 29 mdiplomat anamiaka 65 yaani kansomesha,kanipa kazi gari,nyumba safari kibao nimeijua dunia kupitia yeye rum anaenda uvinza narusharusha miguu nkishtuka nakuta kichwa kina mvi katikati naendelea na safari.Kimoja kinatosha nainjoi.Ila pia ni serengeti wangu ana miaka 21 ananikuna,hekaheka nafungulia bomba maromance ya kufa taratibu nikishtuka hata sijui kaingia saa ngapi.
Raha sana serengeti maisha yake yapo hatarini ameenda pemba kujificha mudiplomat kagundua.Ila nitaenda pemba.
Wababa wanajua mapenzi sana serengeti boy kwa ajili ya kunipa company tu
Zari White Party,si uje PM? kuna siri nataka kukupa kuhusu Buzi lako.
 
Mtoa mada umeongea jambo ingawa wapingaji ninaamin watakuwa wengi sana
 
mimi hapa na mudiplomat wangu mie nina miaka 29 mdiplomat anamiaka 65 yaani kansomesha,kanipa kazi gari,nyumba safari kibao nimeijua dunia kupitia yeye rum anaenda uvinza narusharusha miguu nkishtuka nakuta kichwa kina mvi katikati naendelea na safari.Kimoja kinatosha nainjoi.Ila pia ni serengeti wangu ana miaka 21 ananikuna,hekaheka nafungulia bomba maromance ya kufa taratibu nikishtuka hata sijui kaingia saa ngapi.
Raha sana serengeti maisha yake yapo hatarini ameenda pemba kujificha mudiplomat kagundua.Ila nitaenda pemba.
Wababa wanajua mapenzi sana serengeti boy kwa ajili ya kunipa company tu
Basi mamii endelea hivo huvo tu au vipi?.
 
Halafu ukishapata fedha kutoka suger mummy ukanzisha project utatajirika nawe utakuwa SUGAR DADDY. ....
 
Back
Top Bottom