Kiraka
JF-Expert Member
- Feb 1, 2010
- 3,838
- 3,081
hata Mike Tyson akichomwa sindano ya kumwongezea oestrogen ataanza kuwa na move za kishoga.Wote wanaume/wanawake tuna homone za oestrogen/testesteron ila kwa viwango tofauti.
Balaa ni pale mwanaume anapokuwa na oestrogen nyingi (a hormone stimulating female characterization and growth of secondary female sifa)
Merytina
Kwa wengine si kwamba anakuwa na hormone nyingi au nini, basi ni ile labda kuwa na rafiki shoga, au kufanyishwa hivyo akiwa mtoto basi anakuwa mkubwa na kuendelea hivyo.
kila siku naomba mungu awalinde wanangu wasije kuwa hivi, ni fedheha kubwa kwa wazazi pale mtoto wako kidume anapokuwa katika kundi hili.
Ushauri wangu mimi ni kwa wazazi kuwa karibu sana na watoto wao na kuweza kuzi ulia mbali dalili za kuelekea huko kwa watoto wetu.