Kete Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 21, 2014
- 6,643
- 6,822
Sasa hivi tuna wanw ccm sio majasusi kama wapo ni majasusi wajasusi wa vyama vya upinzani tu.Mkuu majasusi wa kwetu ni wazuri sana,tena sana,ni kama ninavyoielezea Urusi dhidi ya mataifa yenye mashirika ya kijasusi yenye nguvu,ndio hivyo kwa majasusi wa Tanzania,unakumbuka wakati wa Ukombozi kusini mwa afrika? majasusi wetu waliiva sana kwa sababu ya kukabiliana na Makaburu,hawa jamaa makaburu ni noma kiujasusi na kijeshi,pia majasusi wetu walikabiliana na mabeberu wengine amabao walikua hawapendi sera za Nyerere,pia maadui majirani zetu akina Idi Amini.Mobutu seseko,Kamuzu banda,n.k,NA MAJIRANI WENGINE WALIOKUA na NIA MBAYA na sisi.Sasa hapa ndio ungeujua uwezo wa majasusi wetu.Kilichoharibu hapa kwa sasa ni kutumiwa na wanasiasa kwa maslahi ya kisiasa.
Ha ha haa basi bana ninakubaliana na wewe hasa kwa komenti namba 24 na 27 kama ulivyosema.nimeteta lakini fact zinawatoa nje.ha ha ha.Sasa rejea nilipokuquote hivyo maneno yako uliyoandika mkuu.
Mkuu kubali kataa kuwa nguvu wanayofainyana ujasusi wao kwa wao sio sawa na wanayomfanyia Urusi wao wakiwa mmojammoja ama wote kwa pamoja,nadhani kama wewe ulikua msomaji wa habari za cold war era utakubaliana na mimi kuwa Ussr iliandamwa sana na mashirika yote makubwa ya juasusi.ama fuatilia tu hata sasa maana kumbukumbu zipo.Mkuu usijidanganye kwamba nchi za NATO hazifanyiani ujasusi zenyewe kwa zenyewe. Au kwamba USA haifanyii ujasusi Uingereza. Uingereza vs USA. MOSSAD vs Uk. Au USA vs nchi zingine za NOTO. Upo ujasusi unaoendelea humo,tena wa hali ya juu mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila mkuu hiki ulichoandika ndio malalamiko ya watu wengi humu na nje ya humu ,sasa sijui kwa nini hawa wazee wa kazi hiyo hawayafanyii kazi malalamiko haya ili kujitakasa.Sasa hivi tuna wanw ccm sio majasusi kama wapo ni majasusi wajasusi wa vyama vya upinzani tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mi sioni hao KGB kikubwa walicho fanya urusi inatakiwa iwe juu kam dubai.kufeli kwa Socialiat policy,kuvunjwa kwa U.S.S.R.mi nadhani jamaa wana experience na si kama unavyo wakweza.Sawa Mkuu,naelewa, ingawa maoni yangu hapo juu kabisa nilianza kuzungumzia changamoto za kijasusi ilizokua inakabiliana nazo USSR hadi sasa RF,NDIO MAANA NIKAZUNGUMZIA VITA YA USSR na Mujahideen,jinsi USSRilivyokua inapambana na mashirika mengi makubwa ya kijasusi hapa Duniani.
Hapana mkuu sio nawakweza bali ni hali halisi kuwa USSR ilikua inakabiliwa na nchi zenye nguvu ya fedha na uwezo wa kijasusi kuliko nchi yeyote,mfano MI6,CIA,MOSSAD n.k,sasa kama KGB na wenzake waliweza kuhimili vishindo vya hawa basi hata wao watakua walikua wako vizuri.Ni kweli kuwa sera za kisoshalisti zilikua mbaya.Mkuu mi sioni hao KGB kikubwa walicho fanya urusi inatakiwa iwe juu kam dubai.kufeli kwa Socialiat policy,kuvunjwa kwa U.S.S.R.mi nadhani jamaa wana experience na si kama unavyo wakweza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hebu jaribu kufuatilia vizuri story za kweli za vita baridi utaona jinsi MI6,Iilivyokua inaipa tabu KGB,NA JINSI MI6 ilivyokua inabadilishana taarifa za kijasusi na CIA,pia fatilia jinsi MOSSAD ilivyokua inawashughulikia KGB na kuwapa taarifa muhimu sana CIA,kumbuka wakati wa vita baridi kulikua na vita nyingi sana baina ya Waarabu na Israel,kwa wakati huo Urusi ilikua ikiwapa sapoti waarabu kwa silaha kali ,kitu hiki kilikua kinamkera sana Israel,naye akawa anaichunguza Urusi na taarifa nyingine akawa anashea na CIA,MIFANO NI PAMOJA NA MAJASUSI WA Mossad KUIBA ndege MIG ya kirusi iliyonunuliwaa na IRAQ,NA KUWAALIKA wa MAREKANI KUIFANYIA UPEKUZI WA KISAYANSI.Kwa vile USA alikua upande wa Israel,USSR ikawa upande wa waarabu,na kwa vile USSR ilikua upande wa Waarabu inapelekea Israel kuwa upande wa USA na kwa hali hiyo Israel kupambana kijasusi na USSR ili kuhujumu urafiki wake na waarabu.
Haya jifariji.Ha ha haa basi bana ninakubaliana na wewe hasa kwa komenti namba 24 na 27 kama ulivyosema.nimeteta lakini fact zinawatoa nje.ha ha ha.
Bado russia ni bora kwa sababu vita aliyopigana alikuwa yeye peke yake dhidi ya mataifa takribani 10 yenye nguvu ya kiuchumi na kiujasusi dunianiLakini urusi ilishindwa vibaya hiyo vita ujue mpka wakarudisha askari
Sent using Jamii Forums mobile app
Puting ndio nani mkuu
Imeeleweka ni Putin ,,,Puting ndio nani mkuu
Wakati wa vita baridi cold war pamoja na mashindano ya kutngeneza silaha kali duniani weapons race, mashirika ya ujasusi yalikua yakichuana vikali sana,hasa pande mbili kati ya USSR na USA.USSR ilikua na washirika wake wa Warsaw Pact,na USA ikiwa na washirika wake wa NATO.
Kwa hali hiyo kila upande ukifanya jambo fulani upande mwingine unapinga kwa kila namna.Hali hii ilipelekea ujasusi mkubwa kutamalaki baina ya pande hizi ,kuchunguzana,kuibiana siri,kuhujumiana.hali hiyo ilipelkea URUSI kupambana na majasusi wa Marekani na washirika wake,baadhi yao ni
majasusi wa USA vs KGB,GRU,SVR etc
majasusi wa Uingereza vs KGB,GRU,SVR etc
majasusi wa ujerumani magharibi vs KGB,GRU,SVR etc
majasusi wa Israel vs KGB,GRU,SVR etc
majasusi wa Pakistan vs KGB,GRU,SVR hapa ni wakati wa vita ya USSR nchini Afghanistan etc
majasusi wa NATO vs KGB,GRU,SVR etc
majasusi wa China vs KGB,GRU,SVR hapa ni wakati wa vita ya USSR nchini Afghanistani
n.k
Wakati wa vita ya USSR dhidi ya Mujahidin nchini Afghanistan USSR ilikua inapigana na mujahidini waliokua wakipewaa sapoti ya silaha, ujasusi na fedha na mataifa ya USA,UK,NATO,China,Pakistan,Saudi Arabia etc
hawa wote walikabilana ana kwa ana vikali sana na KGB,SVR ,GRU etc.
Nahitimisha kusema kuwa inawezekana kuwa Urusi ina majasusi imara na jeshi imara sana kuliko nchi yeyote ile.
Marekani ilikua ikitoa silaha kali sana kuwapa mujahidini kuangamiza magege na vifaru vya USSR/URUSI,sio tu Marekani bali pia nchi nyingine zilitoa fedha silaha na ujasusi mfano ni china,pakistani,saudia,na baadhi ya memba wa NATO.
Hii inaonesha kuwa huenda Urusi ina jeshi kali na imara sana na ujasusi imara na makini sana.
UWEZO MWINGINE
baada ya kuvunjika muungano wa kisovieti nchi nyingi zilizokua sehemu ya ya USSR zilizojitenga ziliondoka nasiri nyingi sana za muundo wa kijasusi na kijeshi wa USSR nyingi ziliuza siri hizo kwa US na wenzie,lakini Urusi ya sasa ikaja na miffumo mipya haraka ambayo wa west bado wanashindwa kupenya kirahisi,kijeshi na kijasusi,mfano Ukraine na Georgia n.k hawa watakua wametoa siri nyingi sana lakini haioneshi kuiathiri pakubwa RF-Russian Federation
Uingereza ameshambuliana sana na Mrusi hata kabla ya Marekani hajawa Super Power mwaka 1945. Wameshambuliana sana hadi Krushchev akatishia kuwatwanga na Nuclear.Theory nzuri .lakin si kweli kuwa wanamshambulia mrusi. UK, Mossad ni kuwaweka pembeni.. hawa hawana ugomvi mkubwa na mrusi isipokuwa tu america. Ukisema america hapo sawa.. ila sio kweli eti mashirika yote ya west yanamshambulia urusi. Hapana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kosa la analysis yako ni kutaka Kuamini kua URUSi ama USSR(Umoja wa nchi za kisovieti wa Urusi) ilikua nchi moja dhidi ya Marekani na washirika wake wa Magharibi(NATO).
Sent using Jamii Forums mobile app
Nchi zote zilikua moja kwa wakati fulani. Na Vita baridi inaeleza, Nguvu ya ujasusi wa Mataifa husika. Na hapa utaona Matunda ya CIA dhidi ya KGB.Urusi ilikuwa ni nchi moja hata kabla ya kuundwa kwa umoja wa kisovieti mwaka 1922. Au labda mimi sijakuelewa..
Hata Marekani iliwahi kuvunjika kisa fitna za Uingereza na mataifa mengine ya nje.Nchi zote zilikua moja kwa wakati fulani. Na Vita baridi inaeleza, Nguvu ya ujasusi wa Mataifa husika. Na hapa utaona Matunda ya CIA dhidi ya KGB.
Urusi ililazimika Kuacha kuweka vinu vya Nuclear nchini Cuba. Na hii ni kazi ya ujasusi wa USA. Mwisho wa siku USA ndio victor.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapan mkuu sijifariji ,bali kwa mfano wako wa askari wa Zimbabwe kumchenjia Mugabe nakosa hoja naamua kuungana na hoja yako.Haya jifariji.
Mkuu nakubaliana na wewe kwa baadhi ya ponts zako humu,ila kufeli kwa USSR kama ulivyoelezea kwa hapa ni kutokakana na nguvu ya majasusi waliokua wanapambana na URUSI,na hapa ndio mzizi wa mada yangu,ukishindana na wengi utashindwa tu,lakini ukishinda ama ukishindwa wewe bado utaonekana ni nunda,Hitla alishindwa kwa sababu alipingana na wengi,lakini aliacha simulizi na anaonekana kuwa alikua ni nunda,ukishinda wewe sio wa kawaida,ndio maana mtu ama nchi moja ikiwashinda wengi huwa tunaiona au tunamuona kuwa sio mtu wa kawaida,mimi sizungumzii kama URUSI na KGB yake walishinda,nazungumzia uimara kutokana na kukabiliana na majasusi wenye nguvu,kutoka nchi zenye nguvu za ujasusi hapa duniani,nimetoa mifano nchi kama US,UK Mossad,n.k Kama isingekua hivyo leo Urusi hiihi ya Putin isingekua na jeuri yote hii.Hata suala LA SYRIA ni kwamba waoWEST bado ni wengi na wana uchumi mkubwa wanaweza kuja kubadilisha matokeo baadae,lakini kwa sasa Urusi kawamudu,hivyo tunasubiri.Sitaki sana kurudi kwenye sababu za kuanguka kwa USSR,wala vita ya Afghan,najua unaijua vizuri sana na mengi yameandikwa humu sitaki kufanya marudio,ila kwa sasa sitaki kuandika mengi nasherehekea ushindi wa simba dhidi ya Wacongo na Yanga kwa pamoja.Kosa la analysis yako ni kutaka Kuamini kua URUSi ama USSR(Umoja wa nchi za kisovieti wa Urusi) ilikua nchi moja dhidi ya Marekani na washirika wake wa Magharibi(NATO).
Laiti ingekua nchi Moja, ingebaki hivyo hata leo.
Urusi ilifeli kuanzia sapoti yake kijeshi kwa nchi za kiarabu dhidi ya Israel ilishindwa kuwini uhusiano na Egypt.
Urusi Ilishindwa kuiwini Zanzibar.
Urusi ikitumia nguvu nyingi kujenga makombora ya nuckear kuliko kujali ustawi wa uchumi wa wananchi wake.
Urusi ilishindwa kuilinda Ujerumani Mashariki. Urusi ilishindwa kutunza Uhusiano wake na China. Kwasababu ya Ego.China akajitoa.
Urusi haikuweza kuichukua Afghanistan .
.
Mwaka 1989-90s USSR ilianguka rasmi.
Russia iliyopo, Wakati wa Obama tulishuhudia ikiipoteza Ukraine. At least wameweza kuzuia Anguko la Syria. Na hii ni swala la Muda tu. You never know..
Leo hii unaisifu kwamba ina umadhubuti wa ujasusi?!!. Hell No!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ulisema askari/wanausalama humtii boss wake as long as ni boss wake. Kwa maana hiyo hata logic hawawezi tumia, ndio nikatoa hiyo hoja ya Mugabe.Hapan mkuu sijifariji ,bali kwa mfano wako wa askari wa Zimbabwe kumchenjia Mugabe nakosa hoja naamua kuungana na hoja yako.