GE2025 Mashirika ya haki za binadamu yatilia shaka uchaguzi mkuu Tanzania

GE2025 Mashirika ya haki za binadamu yatilia shaka uchaguzi mkuu Tanzania

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Think2

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2025
Posts
2,193
Reaction score
3,957
Chazo cha mitandao kuzimwa nchi ni kuwa mashirika ya kutetea haki yameikandamiza serikali kuhusu uchaguzi usiohaki.
Kufika kesho mitandao yote iliobaki itazimwaaa kbs.

Vituo vya kupigia kura vitafunguliwa saa 12 asubuhi !! Hahaha aya huon muda mimi nitakuwa nimelala
 
Kesho shughuli kubwa ni kupiga kura ili kupata viongozi watakaloliongoza taifa kwa miaka mitano. Upigaji kura utafanyika kwa amani na salama
 
Back
Top Bottom