Think2
JF-Expert Member
- Jan 3, 2025
- 2,193
- 3,957
Chazo cha mitandao kuzimwa nchi ni kuwa mashirika ya kutetea haki yameikandamiza serikali kuhusu uchaguzi usiohaki.
Kufika kesho mitandao yote iliobaki itazimwaaa kbs.
Vituo vya kupigia kura vitafunguliwa saa 12 asubuhi !! Hahaha aya huon muda mimi nitakuwa nimelala
Kufika kesho mitandao yote iliobaki itazimwaaa kbs.
Vituo vya kupigia kura vitafunguliwa saa 12 asubuhi !! Hahaha aya huon muda mimi nitakuwa nimelala