josephmagombe
Member
- Aug 22, 2015
- 50
- 26
Will TRA make a refund for my old machine?
Magufuli anavamia syndicate kwa pupa. Matatizo ya uchumi wetu SI mashine hizi Ni watu kama Kinana, Ritz1, Ben etc
Ubavu Hana hata WA kuwaambia tra watumie network ya ttcl....
Kwanza inaonekana huelewi kitu na hiyo machine hukuwa nayo. Kwani mkataba na tra c kwamba mtakuwa mnalipana ktk hiyo kodi kdgo kdgo?? Maana yake unaikopesha tra.... we sio mlipa kodi