Mashine za EFD sasa kutolewa bure na Serikali!

Mashine za EFD sasa kutolewa bure na Serikali!

Will TRA make a refund for my old machine?
Magufuli anavamia syndicate kwa pupa. Matatizo ya uchumi wetu SI mashine hizi Ni watu kama Kinana, Ritz1, Ben etc
Ubavu Hana hata WA kuwaambia tra watumie network ya ttcl....

Kwanza inaonekana huelewi kitu na hiyo machine hukuwa nayo. Kwani mkataba na tra c kwamba mtakuwa mnalipana ktk hiyo kodi kdgo kdgo?? Maana yake unaikopesha tra.... we sio mlipa kodi
 
sasa walionunua watarejeshewa pesa yao?

Kwa kawaida walionunua walikuwa wanarudishiwa na TRA kupitia VAT mpaka pesa ile iishe, kilichokuwa kinafanyika ni sawa na mfanyabiashara kuikopesha TRA ile pesa anayonunua mashine alafu TRA inamrudishia pesa ile kupitia VAT mpaka iishe.

So kama mtu alinunua mwaka 1 na nusu uliiopita moja kwa moja mpaka sasa atakuwa aliishalipwa pesa yake yote.
 
Hongera sana!

Refund wale walinunua awali. That will only be fair to them.
 
Will TRA make a refund for my old machine?
Magufuli anavamia syndicate kwa pupa. Matatizo ya uchumi wetu SI mashine hizi Ni watu kama Kinana, Ritz1, Ben etc
Ubavu Hana hata WA kuwaambia tra watumie network ya ttcl....

we kweli unaumwa...ttcl ndio ISP active pale tra acha kuropoka km huna data kenge ww
 
Tatizo sio mashine,, tatizo ni kodi inakatwa mpaka kwenye mtaji badala ya faida,,,magufuli badala ya kudeal na tatizo kubwa kama hili,,,anahangaika na vi small issues visivyokuwa na tija kwa taifa

Mashine za EFD haikuwa ishu ndogo hata kidogo, na zina tija kwa taifa.
 
Ukinunua kwa Risiti na ukauza kwa Risiti kodi unayopaswa kulipa na tofauti kati ya Risiti ya mauzo toa ya manunuzi, mfano uliponunua ulilipa kodi sawa na 20, ukauza sawa na kodi ya 25, hapa utalipa 25-20= 5 but kama uliponunua ukudai Risiti utalipa 25, hivyo kusema kodi inakatwa kwenye mtaji si sawa
 
Will TRA make a refund for my old machine?
Magufuli anavamia syndicate kwa pupa. Matatizo ya uchumi wetu SI mashine hizi Ni watu kama Kinana, Ritz1, Ben etc
Ubavu Hana hata WA kuwaambia tra watumie network ya ttcl....
Kila kitu kina mwanzo. Msiwe watu wa kukulaumu tu
 
Weka wazi, zinakopeshwa au zinagawiwa bure?
Ila wale waliokwisha zinunua hakuna kurudishiwa hata senti moja maana wakati wafanyabiashara waliweka msimamo wa pamoja wa kutozinunua hizo mashine za EFD za wakwepa kodi, wao walileta usaliti na kimbelembele cha kununua.

Ni kutokana na mgomo huo wa wafanya biashara ndiyo serikali imesalimu amri ya kuzitoa bure, halafu hao wasaliti wanaanza kudandia warudishiwe pesa.
 
Mkuu fafanua kidogo tukuelewe hao jamaa ni tattizo ktk uchumi kvp
 
Tatizo sio mashine,, tatizo ni kodi inakatwa mpaka kwenye mtaji badala ya faida,,,magufuli badala ya kudeal na tatizo kubwa kama hili,,,anahangaika na vi small issues visivyokuwa na tija kwa taifa

Acha uongo
 
Will TRA make a refund for my old machine?
Magufuli anavamia syndicate kwa pupa. Matatizo ya uchumi wetu SI mashine hizi Ni watu kama Kinana, Ritz1, Ben etc
Ubavu Hana hata WA kuwaambia tra watumie network ya ttcl....[fafanua mkuu hao jamaa ni tatizo ktk uchumi kvp]
 
safiiiii safiiiiiiii safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii....

So, now wafanyabiashara watakuwa wanafurahi kidogo.... Lilolobaki ni kuangalia kodi, je ni rafiki kwa mfanyabiashara.....? Usikute mtu aba turnover ya 20 mil kwa mwaka... Alafu kodi ni 10 mil.. Hapo utamuua na kumzika kabisaaa mfanyabiashara....

Efd.. Hii ni hatua kubwa sana kwa magufuli kafanya vema... Tumpongeze... Kwenye ukweli tumpe credit jamani...!!



kweli kweli tupu mkuu
 
sisi wajasiliali si ugomvi wetu ni mfumo uliomo ktk mashine hizo...kwamba hatuutaki mfumo....sio mashine...narudia tena ..hatuutaki mfumo wa mshine hii kukata kodi kwenye mauzo..tunaomba mashine ikate kodi kwenye faida

safi saana mkuu
 
Ikiwa wameamua kuzigawa bure kwa wafanya buashara hilo ni jambo zuri,

Jambo zuri zaidi ni kujua hizi mashine zimenunuliwa kwa Sh. ngapi? Maana tunahitaji serikali inunue kwa bei ambayo haitakuwa mzigo kwa namna yoyote ile kwa wananchi.

Ccm inatafuta kusifiwa, Tuwe makini kwa hilo.
 
Ukinunua kwa Risiti na ukauza kwa Risiti kodi unayopaswa kulipa na tofauti kati ya Risiti ya mauzo toa ya manunuzi, mfano uliponunua ulilipa kodi sawa na 20, ukauza sawa na kodi ya 25, hapa utalipa 25-20= 5 but kama uliponunua ukudai Risiti utalipa 25, hivyo kusema kodi inakatwa kwenye mtaji si sawa

kun kitu hujajua
 
Hapa wafanyabiashara wamepigwa bao la kisigino. Walikuwa hawajui wanachopigania, Je! Ni gharama za mashine? Au mitaji midogo ya biashara na kodi ni kubwa? Hongereni serikali kwa kucheza kama Pele, siku nyingine watapata akili ya namna ya kuwasilisha madai yao.
 
VAT inakatwajwe kwenye mtaji?

Kuna kitu hujajua hilo sio tatizo kabisa TRA itakuja kwa ukaguzi AUDITING hasa ni ndani ya miaka 3,wanapitia records za hiyo mashine

hapo ndipo utaijua kuwa TRA,
wanakusanya vikosa vingi vidogo vidogo + penalty kwa miaka jibu lake aidha UFE kwa pressure, au kufunga na kukimbia kusikojulikana na kama una silaha unaweza uwa, mtaji wako 50 mln turnover yaweza fika 300mln au zaidi @ mwaka ,
wao watatoa kodi 120 mln, na wanakupa 30 days ulipe wakati huo wanafanyia kazi maneno ya mitaani, hawana formula inayoeleweka,
 
Back
Top Bottom