Na hao waliokwisha nunua warudishiwe mishiko yao
sasa walionunua watarejeshewa pesa yao?
Na rais wa zamani arudishwe madarakani. ndo hayo watu wanaanza kusema kuhusu serikali iliyopita. tutafika kwa hayo yaliyotendeka huko?
ngoja afanye kuanzia anapoanzia. tumpe suport tu.
na mm nilienunua je
]sasa walionunua watarejeshewa pesa yao?##Ikiwa hivyo na raid aliepita arudi madarkan kama haliwezekani lililopita limepita tugange lililopo
Wanakopesha hawagawi alonunua bado ana faida.
Itasaidia kukusanya kodi na kupunguza malalamiko, maana wafanyabiashara walikuwa wakizilalamikia zinauzwa kwa bei kubwa. Kazi ya kukusanya kodi itafanyika bila malalamiko. Tanzania ijengwe kwa kodi zetu pamoja na rasirimali zetu, kwa Dunia ya sasa hakuna msaada wa bure.
Will TRA make a refund for my old machine?
Magufuli anavamia syndicate kwa pupa. Matatizo ya uchumi wetu SI mashine hizi Ni watu kama Kinana, Ritz1, Ben etc
Ubavu Hana hata WA kuwaambia tra watumie network ya ttcl....
Safiiiii safiiiiiiii safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii....
So, now wafanyabiashara watakuwa wanafurahi kidogo.... lilolobaki ni kuangalia kodi, je ni rafiki kwa mfanyabiashara.....? Usikute mtu aba turnover ya 20 mil kwa mwaka... alafu kodi ni 10 mil.. hapo utamuua na KUMZIKA KABISAAA MFANYABIASHARA....
EFD.. hii ni hatua kubwa sana kwa Magufuli kafanya vema... tumpongeze... kwenye ukweli tumpe CREDIT JAMANI...!!
👏👏👏👏👏👏
Hata mwanzo ilikuwa unanunua kisha unarudishiwa kwa kukata katika kupeleka kodi
Sema wabongo wachacha sana wanaopeleka hesabu zao TRA