Mashine ya Umeme ya Kunyoa (Electric Shaver)

Mashine ya Umeme ya Kunyoa (Electric Shaver)

Royal Son

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2016
Posts
1,467
Reaction score
2,760
✨ Mashine ya Umeme ya Kunyoa (Electric Shaver) ✨

✅ Unyoaji safi bila maumivu
✅ Rahisi kubeba – inatoshea mfukoni
✅ Betri ya kudumu, chaji mara moja tumia muda mrefu
✅ Muundo wa kisasa na rangi mbalimbali

💰 Bei: Tsh 30,000/-
📍 Arusha Mjini
📞 0721 235 0159 (Piga/Wh

IMG_20250819_151702.jpg
IMG_20250819_151635.jpg
IMG_20250819_151600.jpg
 
Yani ilivyokaa Kuna wadada na mishangazi wataikimbilia hii watajua ni naniiii...
 
Uliza AI embu usinelete hapa
Pumbu ni mifuko ya ngozi iliyopo chini ya uume inayoshikilia korodani (testes).

Ndani yake ndiko kunakopatikana korodani mbili, ambazo huzalisha mbegu za kiume (manii) na homoni ya testosterone.

Duuuh umeona maana yake hapo ahahahahh
 
Pumbu ni mifuko ya ngozi iliyopo chini ya uume inayoshikilia korodani (testes).

Ndani yake ndiko kunakopatikana korodani mbili, ambazo huzalisha mbegu za kiume (manii) na homoni ya testosterone.

Duuuh umeona maana yake hapo ahahahahh
sasa je pumbu ni ngozi iliyobeba korodani uelewe kuanzia leo watu wengi hawajui kutofautisha korodani na pumbu
 
Back
Top Bottom