Mashine ya kutengeneza mkaa wa kisasa

Mashine ya kutengeneza mkaa wa kisasa

Mweweso

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2017
Posts
688
Reaction score
757
Wana jamvi
Salaaam
Naomba mwenye uelewa au ufahamu wa mashine za kutengeneza mkaa wa kisasa( alternative charcol ) na soko lake anijuze,pia na masoko ya bidhaa yaani mkaa wenyewe kwa hapa Tanzania,pia na ushauri wa hii biashara kwa ujumla
Nawakilisha
 
Wana jamvi
Salaaam
Naomba mwenye uelewa au ufahamu wa mashine za kutengeneza mkaa wa kisasa( alternative charcol ) na soko lake anijuze,pia na masoko ya bidhaa yaani mkaa wenyewe kwa hapa Tanzania,pia na ushauri wa hii biashara kwa ujumla
Nawakilisha
Mkuu kuna jamaa zangu nawafahamu wana hicho kiwanda cha mkaa mbadala, kuhusu soko wanasambaza kwenye baadhi ya cafteria za vyuo, kwenye mabaa, watu binafsi nk. Wako vizuri
 
Mkuu kuna jamaa zangu nawafahamu wana hicho kiwanda cha mkaa mbadala, kuhusu soko wanasambaza kwenye baadhi ya cafteria za vyuo, kwenye mabaa, watu binafsi nk. Wako vizuri

Tiririka hapa jamvini tupate taarifa zaidi na wengine.
 
Back
Top Bottom