Habari ya JF, Naomba kufahamu jinsi ya kuanzisha mradi wa mashine za kukoboa na kusaga nafaka kama mahindi na mpunga . Aina za mashine , changamoto na utaratibu upoje ili niweze kuchukua hatua
Nawasirisha shukrani zangu [emoji120][emoji120] kwenu wana JF
[emoji120][emoji120]![]()
Mashine ya kusaga mahindi na kukoboa
Samahani wanajanvi. Naomba ufafanuzi nataka kuanzisha biashara ya kusaga na kukoboa mahindi. Hii biashara imesimamaje? Gharama za kuanzisha mashine zikoje? Kuna faida au hasara?www.jamiiforums.com
Ukiwa na milioni 3.5 imeisha....Mkuu kuna zile mashine zinazotumia mota moja,, yaan ya kukoboa na kusaga zote zinatumia mota moja. Mtumiaji unahamisha ile mikanda tu kutegemea na kazi unayotaka kuifanya kwa wakati husika (kukoboa au kusaga),, nazo unatengeza? Na kama unatengeneza bei yake ikoje pamoja na mota?
Na mashine yakupukuchua mahindi bei gani?!Ukiwa na milioni 3.5 imeisha....
Mbeya sehemu gani mkuuKwa swala la namna ya kupata mashine Bora nitafute mkuu Mimi ni fundi wa hayo mavitu sema nko mbeya Ila tunaweza kufanya biashara Kama ungependa mkuu
Soweto bossMbeya sehemu gani mkuu
Zipo aina tofauti tofauti kulingana na mahitaji yako mkuuNa mashine yakupukuchua mahindi bei gani?!
Mota ya power horse 25 bei ganiSoweto boss
1.75 milionMota ya power horse 25 bei gani
Sidhani kama ni biashara nzuri hasa kama unaishi mjini. Nilimuanzishia ndugu yangu kwa mashine mbili za kusaga, mbili za kukoboa na moja ya kuchekecha zote za umeme, biashara ikaanguka kutokana na soko dogo. Nikamshauri aingie kwenye kuuza sembe, yaani anunue nafaka, azisage na kufunga kwenye mifuko lakini pia ushindani ulikuwa mkubwa kiwanda kikafungwa.Habari ya JF, Naomba kufahamu jinsi ya kuanzisha mradi wa mashine za kukoboa na kusaga nafaka kama mahindi na mpunga . Aina za mashine , changamoto na utaratibu upoje ili niweze kuchukua hatua
Nawasirisha shukrani zangu [emoji120][emoji120] kwenu wana JF
Boss hv changamoto ya umeme kutumika saana kuliko fedha zinazopatkana inaweza ikwa inasababishwa na nn? Mwanzoni ilikuwa vzuriNakutengenezea kwa 2.5 Kila moja hapo ni pamoja na mota wewe ni kufungua na kuanza kusaga
Picha tafadhaliMkuu kuna zile mashine zinazotumia mota moja,, yaan ya kukoboa na kusaga zote zinatumia mota moja. Mtumiaji unahamisha ile mikanda tu kutegemea na kazi unayotaka kuifanya kwa wakati husika (kukoboa au kusaga),, nazo unatengeza? Na kama unatengeneza bei yake ikoje pamoja na mota?
Biashara ya umeme hio, ukisimama inalipa vzr .Samahani wanajanvi. Naomba ufafanuzi nataka kuanzisha biashara ya kusaga na kukoboa mahindi. Hii biashara imesimamaje?
Gharama za kuanzisha mashine zikoje?
Kuna faida au hasara?
Mil 22 kununua complete na filter zakeVip kuhusu mashine za kukamua mafuta ya alizeti bei yake ikoje