Asante Sana nimeanza kununua badhii ya vifaa. Ila machine Ni ya umeme na Niko kijijini.Kama upo mjini inabid tena utafute mtaji wa kununua nafaka uwe nazo mashineni kwako
Kama upo kijijin sio lazima sana kuwa na nafaka hapo mashineni
HUjasema unataka kuanzisha mashine ya kusaga ya umeme au ya disel mashine
Ukiwa unaweza kupata wateja wengi ni biashara moja nzuri Sana,
Mimi nina uzoefu zaidi na mashine ya kusaga ya umeme,ambapo ukinunua umeme wa 10,000 ambazo ni unit 28 na ukaweza kuzitumia zote inamaana kuna uwezekano wa kupata faida ya 40,000
Unit 28 zinauwezo wa kusaga kg 56
Mashine ya kukoboa mahindi ina faida sana maana haitumii umeme mwingi Sana kama hiyo ya kusaga
Hivi hinzi mashine complete nziunzwa bei gan mkuuKama upo mjini inabid tena utafute mtaji wa kununua nafaka uwe nazo mashineni kwako
Kama upo kijijin sio lazima sana kuwa na nafaka hapo mashineni
HUjasema unataka kuanzisha mashine ya kusaga ya umeme au ya disel mashine
Ukiwa unaweza kupata wateja wengi ni biashara moja nzuri Sana,
Mimi nina uzoefu zaidi na mashine ya kusaga ya umeme,ambapo ukinunua umeme wa 10,000 ambazo ni unit 28 na ukaweza kuzitumia zote inamaana kuna uwezekano wa kupata faida ya 40,000
Unit 28 zinauwezo wa kusaga kg 56
Mashine ya kukoboa mahindi ina faida sana maana haitumii umeme mwingi Sana kama hiyo ya kusaga
3.5mHivi hinzi mashine complete nziunzwa bei gan mkuu
Ya diseal na umeme ni bei Moja3.5m
Ya diseal na umeme ni bei Moja
Okay, 🙏Umeme
Horsepower ngapi?3.5m
Mkuu unit 1 ni inasaga kilo 18 mpaka 20Asante Sana nimeanza kununua badhii ya vifaa. Ila machine Ni ya umeme na Niko kijijini.
Andaa 2.5milHivi hinzi mashine complete nziunzwa bei gan mkuu
Vip kuhusu mashine za kukamua mafuta ya alizeti bei yake ikojeMkuu unit 1 ni inasaga kilo 18 mpaka 20
Huku kwetu debe moja ambalo ni Kama kilo 20 hivi wanasaga kwa 1500
So
1500×28=42000
Ukitoa 10000 ya umeme inabaki 32000
Kama umetega pazuri unaweza kusaga hata wateja 40 per day mkuu
Ikiwa mpya kabsaAndaa 2.5mil
Ya kusaga horsepower 25, kukoboa 20Horsepower ngapi?
Hizi nna uzoefu wa kutengeneza tu Ila sijawahi kuifanya mkuuVip kuhusu mashine za kukamua mafuta ya alizeti bei yake ikoje
NdioIkiwa mpya kabsa
Mkuu kuna zile mashine zinazotumia mota moja,, yaan ya kukoboa na kusaga zote zinatumia mota moja. Mtumiaji unahamisha ile mikanda tu kutegemea na kazi unayotaka kuifanya kwa wakati husika (kukoboa au kusaga),, nazo unatengeza? Na kama unatengeneza bei yake ikoje pamoja na mota?Nakutengenezea kwa 2.5 Kila moja hapo ni pamoja na mota wewe ni kufungua na kuanza kazi