wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,688
- 26,796
Histori ya haya mashine.
Haya mashine yalizinduliwa mwaka 1890 huko taifa la Bulgari na kuanza kufanya kazi mwaka huohuo. Historia inasema yalipelekwa India kwa muda wa dakika kumi yalikamata wezi 1500.
Yakapelekwa China kwa muda wa dakika saba yakashika wezi 1789 Yakapelekwa Marekani kwa muda wa dakika ishirini yalishika wezi 1300
Yakapwleka Kenya kwa mhda wa dakika 25 yalishika wezi 3000
Yakapelekwa Uganda kwa muda wa dakika 15 yalishika wezi 1800
Burundi kwa muda wa nusu saa yakashika wezi 2000 Rwanda yalishika kwa Dakika kumi na Moha yalishika wezi 3000 yakaletwa Tanzania Mtaa wa Mongo kwa muda wa dakika 5 yale mashine yaliibiwa hadi sasa hayajulikani yako wapi.
Haya mashine yalizinduliwa mwaka 1890 huko taifa la Bulgari na kuanza kufanya kazi mwaka huohuo. Historia inasema yalipelekwa India kwa muda wa dakika kumi yalikamata wezi 1500.
Yakapelekwa China kwa muda wa dakika saba yakashika wezi 1789 Yakapelekwa Marekani kwa muda wa dakika ishirini yalishika wezi 1300
Yakapwleka Kenya kwa mhda wa dakika 25 yalishika wezi 3000
Yakapelekwa Uganda kwa muda wa dakika 15 yalishika wezi 1800
Burundi kwa muda wa nusu saa yakashika wezi 2000 Rwanda yalishika kwa Dakika kumi na Moha yalishika wezi 3000 yakaletwa Tanzania Mtaa wa Mongo kwa muda wa dakika 5 yale mashine yaliibiwa hadi sasa hayajulikani yako wapi.