Mashindano ya Miss Totoz?

Yaani vitoto vingine vinapiga pose za nguvu. Mtu unaweza kuwa pedophile hivihivi.
 
Lol...siyo mambo ya kuletea utani hayo. Watoto wetu inabidi tuwalinde.

Yaani komredi nilivyo angalia hivi yaani kangekuwepo kabinti kangu ka Fideline ningemfuata mama ake kwao namcharaza bakora mbele ya baba zake inatia aibu komredi.
 
Zakumi tafadhali ndugu. Get your mind out of the gutter, please.

NN:

Nashukuru kwa ushauri wako ndugu. Isipokuwa inanifanya mimi nifikiri kuwa labda sisi ni watu tunaotaka mafanikio kwa mtiririko bila kufanya kazi.
 
Yaani komredi nilivyo angalia hivi yaani kangekuwepo kabinti kangu ka Fideline ningemfuata mama ake kwao namcharaza bakora mbele ya baba zake inatia aibu komredi.

HAHAHAHAH!unampa bakora za kufa mtu,atatia akili.dheni unatulia sebuleni pale tunabadilishana mawazo
 
Companero:

Sap Bhoy! Nchi imebadilika sana. Enzi zetu mashindano yalikuwa ni mitihani ya moko, gwaride, Ngonjera. Lakini sasa mnawafundisha watoto ku-pose sikuhizi.

Mkuu ndio maana inabidi turudishe heshima ya mbio za mwenge, sera ya elimu ya kujitegemea na jeshi la kujenga taifa maana tuendako siko kabisa!
 
Yaani komredi nilivyo angalia hivi yaani kangekuwepo kabinti kangu ka Fideline ningemfuata mama ake kwao namcharaza bakora mbele ya baba zake inatia aibu komredi.

Yaani hata mimi ningemwona Kabula wangu hapo mama yake angenitambua leo!!
 
Yaani hata mimi ningemwona Kabula wangu hapo mama yake angenitambua leo!!

Teh teh teh yaani bifu la mwezi mzima huwezi mlea binti katika mazingira ya umiss hivi komredi mlee ajue umhimu wa elimu ndo maana wanaishia kumegwa na kuachwa wamefulia.
 
Unajua inatisha unapoona mzee mzima anaanza kuzungumzia possibility ya mambo ya pedofilia....Lol...siyo mambo ya kuletea utani hayo. Watoto wetu inabidi tuwalinde.

Ndio maana yake mkuu, na kila kitu kinaanza akilini/mawazoni, kwenye fikra na tafakuri. It takes a spark of imagination! Au ndivyo tulivyo? Laiti ange-transform hii fantasy energy into innovative energy, leo Obama angekuwa anampa joint freedom honor pamoja na Mwanafizikia Stephen Hawkins hapa: http://www.buenosairesherald.com/BreakingNews/View/8946
 
Ndio maana yake mkuu, na kila kitu kinaanza akilini/mawazoni, kwenye fikra na tafakuri. It takes a spark of imagination! Au ndivyo tulivyo? Laiti ange-transform hii fantasy energy into innovative energy, leo Obama angekuwa anampa joint freedom honor pamoja na Mwanafizikia Stephen Hawkins hapa: http://www.buenosairesherald.com/BreakingNews/View/8946

Kweli kabisa Bw. Mjamaa....hivi tungekuwa na ma Stephen Hawkings kama 100 bongo si ingekuwa Nyu Yoki? Au wewe unaonaje babu?
 
Yup naona they are teaching girls now from a young age to use beauty over brains. And we wonder why baadhi ya wanawake hutumia nanihii kuadvance kikazi na maishani.
 
Hivi Tanzania kuna science fairs kwa ajili ya watoto wa shule ya msingi? It would be more beneficial than training them to be future Wema Sepetus.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom