Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,502
- 9,282
Mashindayo ya Quran ya kitaifa na kimataifa yanatarajia kuanza Aprili kumi ya mwaka katika viwanja vitatu tofauti Mkapa, Mnazi mmoja pamoja na Diamond Jubilee.
Mashindano hayo ambayo hufanyika kila mwaka na kushirikisha watu kutoka maeneo mbalimbali ya ndani ya nchi na nje ya nchi yameandaliwa na taasisi tatu tofauti ikiwemo ya Al hekma huku washindi wakitarajiwa kupata zawadi na fedha taslimu ambazo zimepangwa kwa kipindi hicho.
Mashindano hayo ambayo hufanyika kila mwaka na kushirikisha watu kutoka maeneo mbalimbali ya ndani ya nchi na nje ya nchi yameandaliwa na taasisi tatu tofauti ikiwemo ya Al hekma huku washindi wakitarajiwa kupata zawadi na fedha taslimu ambazo zimepangwa kwa kipindi hicho.