Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,495
- 272,142
Huyu jamaa anayejiita Mchungaji Mashimo amesababisha hasara baada ya wadau wengi wa Uswahili kucheza kamari wakiamini kwamba maneno yake yana ukweli wowote .
Huyu anapaswa kukamatwa na kuhojiiwa ili iwe fundisho kwa matapeli wengine
Huyu anapaswa kukamatwa na kuhojiiwa ili iwe fundisho kwa matapeli wengine

