Mashimo akamatwe kwa uongo na kusababisha hasara

Mashimo akamatwe kwa uongo na kusababisha hasara

Huyu jamaa anayejiita Mchungaji Mashimo amesababisha hasara baada ya wadau wengi wa Uswahili kucheza kamari wakiamini kwamba maneno yake yana ukweli wowote .

Huyu anapaswa kukamatwa na kuhojiiwa ili iwe fundisho kwa matapeli wengine

View attachment 2597342
Mimi ndiyo maana siku zote mbuzz za aina hii huwa ninazichukulia kama 🚮 tu.
 
Mchungaji Teja!

Alisinzia aliposhtuliwa akadai alikuwa anazoom matokeo ya Waydad na Simba.


Hapa akisema Wydad anatolewa na Simba na Simba kutinga nusu fainali.
 
Back
Top Bottom