Mashepu ya Ukweli!!!!!!!

Mashepu ya Ukweli!!!!!!!

Hii ipo bana, wachagga wamechukia wanaongea kilugha tupu kwenye hiyo thread ya Tuko!...huh!
Siku zote wachagga wanakuwa wakali wakitaniwa kuhusu shepu. Ila naamin ni utan tu wa kimakabila.
 
Siku zote wachagga wanakuwa wakali wakitaniwa kuhusu shepu. Ila naamin ni utan tu wa kimakabila.
Mkuu Tuko,
Siyo utani wa shepu tu kwa hawa wenzetu.
Kuna threads kuhusu Ukwapuaji, kupenda chapaa, ukabila, ukanda etc.
Lakini kuna yule mchaga ambaye ana duka linalouza Wali, cement, petroli, vioo, mbao, unga, spea za bodaboda, mbege, vyumba vya wageni, nyanya, baruti, Biblia, konyagi nk.!!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Tuko,
Siyo utani wa shepu tu kwa hawa wenzetu.
Kuna threads kuhusu Ukwapuaji, kupenda chapaa, ukabila, ukanda etc.
Lakini kuna yule mchaga ambaye ana duka linalouza Wali, cement, petroli, vioo, mbao, unga, spea za bodaboda, mbege, vyumba vya wageni, nyanya, baruti, Biblia, konyagi nk.!!
Hahahaa
umenikumbusha duka la mrombo mmoja mtaani kwetu, utakachokosa labda nyama. Maana hadi samaki wapo. Wife anapaita supermarket...
 
Msisahau nafasi ya Mchina katika maendeleo ya Africa na dunia kwa ujumla,hususan maendeleo ya wanawake....
 
Hivi katika hawa yupo aliyewahi kuwakilisha kabila lake na kuwa Miss TZ No 1?
 
Mkuu Tuko,
Siyo utani wa shepu tu kwa hawa wenzetu.
Kuna threads kuhusu Ukwapuaji, kupenda chapaa, ukabila, ukanda etc.
Lakini kuna yule mchaga ambaye ana duka linalouza Wali, cement, petroli, vioo, mbao, unga, spea za bodaboda, mbege, vyumba vya wageni, nyanya, baruti, Biblia, konyagi nk.!!
Made my day!!!!! Haaah ha ha haaaaa!!!!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom