Uchaguzi 2020 Masheikh wa BAKWATA waanza kumpigia Kampeni Dkt. Magufuli waziwazi bila aibu

Mleta post kichwa cha habari kingesomeka hivi,

Mashekh wa CCM wampigia debe mgombea wa CCM.
 
Huyu Sheikh ni Mnafiki sana. Hata Bashite kwa sasa amemuelewa kuwa jamaa ni mnafiki. As of now is no longer with Bashite. Kuna video alionekana akimkandia Bashite baada ya kuachia u RC.

Huyu mbele ya pesa na ubwabwa, hata nguo anamvulia me mwenzake
 
Katika ukombozi unaotakiwa kufanyika ni Waislamu kuifuta Bakwata, hakuna aibu kubwa tunapata waislamu kama kuwa na chombo kinachoitwa Bakwata ambayo imesheheni wajinga wengi, yaani asilimia zaidi ya 90 ya viongozi wa Bakwata ni STD 7.

Kwanza uislam haujakataza kupata Elimu ya dunia, lakini kitendo cha safu ya uongozi wa Bakwata kwa ukubwa wake kuongozwa na mbumbumbu tena ushahidi upo hata huo upande wa dini hawa watu ni weupe kichwani kabisa..ni dharau kubwa kwa Waislam.

Na serikali imeamua kukumbatia hiki kikundi cha wajinga kwani kama baraza hili litabadili muundo wake na kuongozwa na wasomi kama yalivyo mabaraza mengine ya dini za kikristo basi CCM itakuwa imekosa kikundi chao cha wajinga cha kuwapigia kampeni.
Kuna sababu gani mtu kama Alhadi Mussa kuwa Sheikh Mkuu wa mkoa wa Dar?

Aibu tunaipata sisi na mkijaribu kufanya mabadiliko serikalini lazima iingilie kati ili hiki kikundi cha wajinga kiendelee kubaki.
 
Missile nation umekosea.Mimi pia nilisikiliza hio dua.kama huelew dua zinavyoombwa rudi ukae chini ufanye research yako vizuri. usifikri shekh mkubwa kama yule alivamia tu kuomba dua .
 
Missile nation umekosea.Mimi pia nilisikiliza hio dua.kama huelew dua zinavyoombwa rudi ukae chini ufanye research yako vizuri. usifikri shekh mkubwa kama yule alivamia tu kuomba dua .
Hakuna muislamu anayeomba dua kwa jina la Yesu au Jibril au hata Muhammad. Kufanya hivyo ni kufuru kubwa.

Dua kwenye Uislamu inaombwa kwa jina la Allah peke yake.

Sasa kama Alhadi amempokea Yesu kuwa BWANA na muokozi wake aache kujifanya muislamu
 
Missile nation umekosea.Mimi pia nilisikiliza hio dua.kama huelew dua zinavyoombwa rudi ukae chini ufanye research yako vizuri. usifikri shekh mkubwa kama yule alivamia tu kuomba dua .
Usimtetee Alhad. Alhad kakosea. Halafu kwa hayo maneno yako ya mwisho unatakiwa uzingatie haya; "Ijue Haqq, utawajua walio katika Haqq".
 
Nichukue nafasi hii kukushangaa wewe mtoa mada kwa kuchelewa kuifahamu bakwata, alhad na genge lake hawako pale kwaaajili ya ALLAH wanamaslahi yao binafsi
 
Hata kusoma tu uislamu unasema
"soma kwa jina la ALLAH mwingi wa rehema mwenye kurehemu;
Sembuse kuomba?
 
Tatizo ni elimu. Mtu kaishia madrasa, unatarajia nini.
Sio kweli tatizo kuishia madrasa bali ni udhaifu wa mtu binafsi kushindwa kuwa mwadilifu kwa dini yake
Wako wengi ambao hawakusoma na ni waumini wazuri tu hata huko kwa dini ya wazungu wako pia wasiokwenda shule
Lakini ni watiifu sana kwenye dini
 
Mbona mnashangilia Sheikh Ponda aliposema Waislamu wote wamchague Lissu. Je Ponda siyo kiongozi wa dini? Kumbe mkuki kwa nguruwe.
 
Mbona mnashangilia Sheikh Ponda aliposema Waislamu wote wamchague Lissu. Je Ponda siyo kiongozi wa dini? Kumbe mkuki kwa nguruwe.
Ponda ni kiongozi wa Taasisi gani ya Kiislamu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…