Mashehe kuongea kiswahili kama kiarabu..!

Ni uamuzi;
Kwani ni mara ngapi tulishuhudia wanaccm wanapoongea wanaiga sauti mfano ya NAPE (Enzi zile akiwa kundini)
Kwani ni mara ngapi tunaona wanachadema wakiongea wanaiga sauti ya Mbowe
CHADEMA na mashehe kuiga wakoloni wao waarabu waliowachapa babu zao kuan uhusiano gani?

hii tabia ya mashehe kuiga waarabu namna ya kuongea ni utumwa wa fikra, kiswahili wanataka wakiongee kama kiarabu, alafu mpaka kuvaa, ila kweli Tanzania waacha MAGUFULI ATUNYOOSHE, PAMOJA NA MAKONDA, hawa hawataki huu ujinga ujinga
 
Hiyo ni colonial legacy na ipo kwenye dini zote

1.Muislamu hupenda kumuiga muarabu aliyemletea dini kuanzia mavazi, chakula tabia hata matamshi ambayo mara kwa mara wanashindwa kutamka vyema lahaja za kiswahililakini mbongo anaanza kumuiga tena huyo anayekosea ili afanane naye

2.Mkristo naye hupenda kumuiga mzungu aliyemletea dini kuanzia mavazi, tabia, lugha na matamshi. Sana sana walokole ndio wamekubuhu kwenye hili, unakuta mzungu anashindwa kutamka lahaja za kiswahili kama jioni yeye ataita CHIONI sasa unakuta mbongo nabii wa magumashi naye anaiga vile vile makosa ya mzungu.......CHIONI YA LEO BWAANA ATAKUCHA KUONGEA MAHALI HAPA""
wacha ujinga wewe, walokole wapo free sana, hawaigi, usihamishe mada, waislam ndio waigaji na waroma wanaiga waitaliano na wanasoma kilatini na kwao ukijua kilatini ni kama umemwona Mungu.
usihusishe walokole na vitu vya ajabu ajabu, ama ulimsikia nabii mashimo na tito wakiongea hivyo ukadhani wale ni walokole?wale si walokole, wapo dini moja na mzee wa upako, injili ya mafanikio ambayo haimtaji hata YESU.
 
CHADEMA na mashehe kuiga wakoloni wao waarabu waliowachapa babu zao kuan uhusiano gani?

hii tabia ya mashehe kuiga waarabu namna ya kuongea ni utumwa wa fikra, kiswahili wanataka wakiongee kama kiarabu, alafu mpaka kuvaa, ila kweli Tanzania waacha MAGUFULI ATUNYOOSHE, PAMOJA NA MAKONDA, hawa hawataki huu ujinga ujinga
Ahsante, umenukuu comment yangu ya mwaka 2017. Maana sikuelewa hata unaongelea nini, hadi imebidi niende ukurasa wa kwanza kuona kuna nini!!!!
 
Hili swala la mashehe kuongea kiswahili kama vile hawakijuwi vizuri na chenye lafudhi ya kiarabu ni manjonjo au ndio ukweli mashehe wetu kiarabu kinapanda sana mpaka yawa taabu na shidaaa kuongea kiswahili kama sisi cha kibantu hasa hasa?! Twauliza tu..Itabidi na maaskofu nao wawe basi na lafudhi ya kiingereza wanapohubiri makanisani! Waende sambamba na mashehe!:);)
Kwani katika ujuzi wako wa lugha ya Kiswahili unafahamuj lahaja ngapi za Kiswahili ?
tuanze hapo kwanza.
 
15 Reactions
Reply
Back
Top Bottom