Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CHADEMA na mashehe kuiga wakoloni wao waarabu waliowachapa babu zao kuan uhusiano gani?Ni uamuzi;
Kwani ni mara ngapi tulishuhudia wanaccm wanapoongea wanaiga sauti mfano ya NAPE (Enzi zile akiwa kundini)
Kwani ni mara ngapi tunaona wanachadema wakiongea wanaiga sauti ya Mbowe
wacha ujinga wewe, walokole wapo free sana, hawaigi, usihamishe mada, waislam ndio waigaji na waroma wanaiga waitaliano na wanasoma kilatini na kwao ukijua kilatini ni kama umemwona Mungu.Hiyo ni colonial legacy na ipo kwenye dini zote
1.Muislamu hupenda kumuiga muarabu aliyemletea dini kuanzia mavazi, chakula tabia hata matamshi ambayo mara kwa mara wanashindwa kutamka vyema lahaja za kiswahililakini mbongo anaanza kumuiga tena huyo anayekosea ili afanane naye
2.Mkristo naye hupenda kumuiga mzungu aliyemletea dini kuanzia mavazi, tabia, lugha na matamshi. Sana sana walokole ndio wamekubuhu kwenye hili, unakuta mzungu anashindwa kutamka lahaja za kiswahili kama jioni yeye ataita CHIONI sasa unakuta mbongo nabii wa magumashi naye anaiga vile vile makosa ya mzungu.......CHIONI YA LEO BWAANA ATAKUCHA KUONGEA MAHALI HAPA""
Ahsante, umenukuu comment yangu ya mwaka 2017. Maana sikuelewa hata unaongelea nini, hadi imebidi niende ukurasa wa kwanza kuona kuna nini!!!!CHADEMA na mashehe kuiga wakoloni wao waarabu waliowachapa babu zao kuan uhusiano gani?
hii tabia ya mashehe kuiga waarabu namna ya kuongea ni utumwa wa fikra, kiswahili wanataka wakiongee kama kiarabu, alafu mpaka kuvaa, ila kweli Tanzania waacha MAGUFULI ATUNYOOSHE, PAMOJA NA MAKONDA, hawa hawataki huu ujinga ujinga
Kwani katika ujuzi wako wa lugha ya Kiswahili unafahamuj lahaja ngapi za Kiswahili ?Hili swala la mashehe kuongea kiswahili kama vile hawakijuwi vizuri na chenye lafudhi ya kiarabu ni manjonjo au ndio ukweli mashehe wetu kiarabu kinapanda sana mpaka yawa taabu na shidaaa kuongea kiswahili kama sisi cha kibantu hasa hasa?! Twauliza tu..Itabidi na maaskofu nao wawe basi na lafudhi ya kiingereza wanapohubiri makanisani! Waende sambamba na mashehe!
uko tanzania bara ongea kibara, wacha utumwa jombii, eti wanaongea kiswahilo cha kiarabu, upuuzi mtupuKwani katika ujuzi wako wa lugha ya Kiswahili unafahamuj lahaja ngapi za Kiswahili ?
tuanze hapo kwanza.
Ndio maana nikauliza kuhusu lahaja na tambua kwamba hakuna Kiswahili cha kiarabu,Kiswahili ni kiswahiliuko tanzania bara ongea kibara, wacha utumwa jombii, eti wanaongea kiswahilo cha kiarabu, upuuzi mtupu
sawa boss, nimekusoma, wenzetu hawataki hiliNdio maana nikauliza kuhusu lahaja na tambua kwamba hakuna Kiswahili cha kiarabu,Kiswahili ni kiswahili
Kumbe tena,dah.sawa boss, nimekusoma, wenzetu hawataki hili