hahahahaahhah umenipatia kwelikweliMda mwingine kumjibu mjinga yahitaji busara sana.,ujinga ni nusu ya mauti "
Shati 50,000/= duuh!
Halafu mengi si cotton halisi ila wanaandika ni 100% Cotton hiyo inanipa shida sana,ukichukulia hali ya hewa ya dar inakuwashida kuvaa nguo ambayo si cotton.
ungekuwa serious na patience ningeweza kuongea na wewe dili nikakuletea kutoka UK. kama uko interested nijulishe!! cheers
Salaam wakuu.
Hivi hapa DAR kuna sehemu naweza kupata mashati ya size 16-18,lakini ya good quality?hata kama ni local made??
Sihitaji branded lakini naweza ku afford kama 30-40,000TZS/shirt.
Nimekwenda maduka mengi Quality Plaza-hapa yako mpaka ya 99,000 lakini ?*?samora -loooh!
Lakini nina imani panaweza kuwa na watu hata kama wana import kutoka UK/US/Brazil , hata kama ni nyumbani nitayafuata.
Nimeamua kuuliza kwa sababu ya Kariakoo labda nanunua sehemu/maduka mabaya.
Asanteni!
Mitumba kwa sharo?? Angalieni comment zenu.....Mitumba mbona ipo mizuri?
Bei?
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums