Masharti ya kuvaa sare

dmkali

JF-Expert Member
Nov 17, 2014
11,284
21,403
Sare ni vazi au muonekano maalum katika kundi au taasisi maalum yenye mlengo mmoja!

Miongoni mwa masharti ya kuvaa sare ni:
  1. Unatakiwa kuvaa sare wakati tu unatekeleza majukumu husika na si vinginevyo
  2. Hutakiwi kupigana ukiwa umevaa sare
  3. Hutakiwi kugombea usafiri ukiwa umevaa sare
  4. Hutakiwi kujisaidia hadharani ukiwa umevaa sare
  5. Hutakiwi kufanya ishara zozote zenye mlengo wa kingono hadharani hata kama ni wanandoa.
Note! Hata kwa taasisi zinazohusika na mambo hayo yakiwemo mapenzi na ngumi inaruhusiwa pekee kufanya hayo hadharani kwa kibali maalum tu!

Ikiwa na maana kwamba hata kama unafanya kazi kampuni ya kufanya ngono, ukiyafanya hayo hadharani ukiwa umevaa sare inatafrika ni kuichafua kampuni na adhabu itakuhusu!

1620909316360.png

 
Back
Top Bottom