Ukiwa hujui kitu usiandike kitu, kinachoongelewa hapa na viongozi wa chadema ni magari ya serikali na si magari binafsi, kwani wewe hujui leo hii gari la serikali linatumia fedha za umma kuligharamia yaani kulinunua, mafuta, matengenezo pamoja na mahitaji mengine ya gari unayoyafahamu wewe na fedha za walalahoi wanaoshindia mlo mmoja kwa siku, au wewe umewahi kuona gali la kiongozi yeyote wa chadema linalohudumiwa kwa fedha za walalahoi au ndo haya watu wanayoyasema kuwa ukiwa pro ccm ni lazima kwanza uwe mental wa akili, nakibaliana na mtu mmoja hapa jf kuwa watu wenye akili ccm wapo likizo.